Others
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 1,189
- 2,765
Twendeni mbele na kurudi nyuma...
Wanaume tuna huruma sana. Unakuta una Mke wako mzuri mwenyewe lakini kuna Bidada ameshaupiga mwingi hadi 30 something huko au ukute ni Single Mother flani hivi anakulilia shida mpaka unasema wacha nimsaidie mwishowe anakua mchepuko wako.
Kwakua 'Anarudia Mtihani' basi utakuhudumia vizuri ile Kifalme ukija kushtuka uko njia panda na unashindwa kuamua yupi ni yupi maana Wife kajinenepea karidhika hana maajabu tena, anajionea tabu tu kukuhudumia Aaf, keshakubadilisha na majina unaskia akiongea na wenzie mara akuite 'Baba Chanja' mara 'Mtoto wa MamaMkwe'.
Huku kwa Bidada/ Single mother daily it's like you're in a new sweet love story. Ooh!! Mara Baby hivi, mara Husband sijui nini..., Full mideko na uombe usiombe utapewa Papuchi kila style hata uwe mgonjwa utaonjeshwa kidogo.
Sasa unabaki 'Dilemma' huku mikono yote miwili imeshika Tama. Stress & Depression are your friends now.
NB: Kama bidhaa huitaki, usiiulizie bei inauzwaje. Ukiambiwa ipo kwenye Offer ya punguzo la bei, utafanyaje?
Wanaume tuna huruma sana. Unakuta una Mke wako mzuri mwenyewe lakini kuna Bidada ameshaupiga mwingi hadi 30 something huko au ukute ni Single Mother flani hivi anakulilia shida mpaka unasema wacha nimsaidie mwishowe anakua mchepuko wako.
Kwakua 'Anarudia Mtihani' basi utakuhudumia vizuri ile Kifalme ukija kushtuka uko njia panda na unashindwa kuamua yupi ni yupi maana Wife kajinenepea karidhika hana maajabu tena, anajionea tabu tu kukuhudumia Aaf, keshakubadilisha na majina unaskia akiongea na wenzie mara akuite 'Baba Chanja' mara 'Mtoto wa MamaMkwe'.
Huku kwa Bidada/ Single mother daily it's like you're in a new sweet love story. Ooh!! Mara Baby hivi, mara Husband sijui nini..., Full mideko na uombe usiombe utapewa Papuchi kila style hata uwe mgonjwa utaonjeshwa kidogo.
Sasa unabaki 'Dilemma' huku mikono yote miwili imeshika Tama. Stress & Depression are your friends now.
NB: Kama bidhaa huitaki, usiiulizie bei inauzwaje. Ukiambiwa ipo kwenye Offer ya punguzo la bei, utafanyaje?