Wanawake wakikuangalia halafu wakaanza kucheka cheka huwa wanamaanisha nini?

Wanawake wakikuangalia halafu wakaanza kucheka cheka huwa wanamaanisha nini?

FB_IMG_17140437533157605.jpg


Kwani una kipara?
 
Heri ya sikukuu wana MMU.

Nina scenario 2 za hili tukio kunitokea.

1. Jumatatu ya wiki iliyopita kulikuwa na mvua kubwa sana jijini dsm ambayo ilisababisha ukosefu wa usafiri wa daladala kwa tulio wengi hivyo watu ilibidi watembee wakitoka makazini kurudi makwao mimi nikiwa mmojawapo sasa kwenye kutembea nilikutana na kundi la madem 3 walikaa kama waajiriwa(Junior) au wanachuo hivi na age group yao kwa kuwaangalia ni 20's tu nilivyokuwa natembea nyuma yao mmoja aligeuka nyuma nakuniona akamkonyeza rafikiye na yy akaniangalia pia.

Ghafla nikaona wanaanza kucheka cheka [emoji35] nilijifanya kama sijaoni ila niliwasoma vizuri kabisa nikapita zangu huku nyuma nikasikia wananiongelea vi maneno ila sikuyasikia vizuri


2. Jana nimetoka kwenye ofisi moja maeneo ya posta nilienda kufatilia ishu flani ilikuwa jioni ya saa 11 hivi natoka mara nashangaa nako kuna madem (wafanyakazi wa kikee) kama 4 kabla sijapita walikuwa wanaongea ongea mambo yao wakati napita mara nao wakanicheka yaabi unaona hapa ni mimi ndo ninayechekwa [emoji848] duuh sikugeuka nyuma nikaendelea na safari yangu.

Hayo ni matukio mawili ninayoyakumbuka vizuri sasa wakuu hii ina maana gani?

N.B kwenye scenario zote sikusalimia demu yeyote sababu i dont greet strangers [emoji41].

Nakaribisha maoni


Hii picha haihusiani na mada [emoji16]
View attachment 2978277
Au una MSWAMBWANDA mkuu?
Ni wazi una kitu/jambo linalovutia watu kukuzungumzia.
 
Heri ya sikukuu wana MMU.

Nina scenario 2 za hili tukio kunitokea.

1. Jumatatu ya wiki iliyopita kulikuwa na mvua kubwa sana jijini dsm ambayo ilisababisha ukosefu wa usafiri wa daladala kwa tulio wengi hivyo watu ilibidi watembee wakitoka makazini kurudi makwao mimi nikiwa mmojawapo sasa kwenye kutembea nilikutana na kundi la madem 3 walikaa kama waajiriwa(Junior) au wanachuo hivi na age group yao kwa kuwaangalia ni 20's tu nilivyokuwa natembea nyuma yao mmoja aligeuka nyuma nakuniona akamkonyeza rafikiye na yy akaniangalia pia.

Ghafla nikaona wanaanza kucheka cheka 😡 nilijifanya kama sijaoni ila niliwasoma vizuri kabisa nikapita zangu huku nyuma nikasikia wananiongelea vi maneno ila sikuyasikia vizuri


2. Jana nimetoka kwenye ofisi moja maeneo ya posta nilienda kufatilia ishu flani ilikuwa jioni ya saa 11 hivi natoka mara nashangaa nako kuna madem (wafanyakazi wa kikee) kama 4 kabla sijapita walikuwa wanaongea ongea mambo yao wakati napita mara nao wakanicheka yaabi unaona hapa ni mimi ndo ninayechekwa 🤔 duuh sikugeuka nyuma nikaendelea na safari yangu.

Hayo ni matukio mawili ninayoyakumbuka vizuri sasa wakuu hii ina maana gani?

N.B kwenye scenario zote sikusalimia demu yeyote sababu i dont greet strangers 😎.

Nakaribisha maoni


Hii picha haihusiani na mada 😁
View attachment 2978277
Lazima Kuna kitu wakikuona wanacheka,huenda stail ya uvaaji wako,utembeaji wako,hawacheki bila sababu lazima Kuna kitu.

Au ni handsome sana,
 
Ila maswali mengine ya ajabu sana.
Sasa sisi tutafahamu vipi wanachekea nini hali ya kuwa hatukufahamu..

Kingine utakuwa umesha experience suala hilo kwa walio karibu yako ndugu au marafiki hata wa kike, hivyo jibu unalo au jaribu jaribu kuwaeleza hili ulilosema hapa nadhani watakua na jibu sahihi zaidi sababu wanakufahamu.
 
Kajikague uone kama unapokua umechomekea (heshma) haituni??
Jitazame kwenye kioo kama unaweza uka confirms mfanano wako ni kama wa6ra??
Amasivyo, basi muulize mtu unae muamini akuambie kama ukitembea sehem zako za nyuma niztikisika ama nikubwa??
 
1.kama una kichwa kikubwa zingatia kuvaa mavazi yasiyobana sana.

2.kama umri wako ni 35+ punguza staili za vijana kuanzia haircut na code yaani nguo.

3.ukiwa unatembea kwa miguu punguza (ulugaluga) ya miondoko ya kishamba.

4.hakikisha bag lako la kazini siyo la kishamba au si la umri wako.

5.ishi maisha yako punguza kujishtukia,unaweza kudhuru mtu ukaishia pabaya.

6.jiamini,jikubali wewe ni wa pekee Mungu kakuumba hivyo huwezi kuwa kama fulani
 
Back
Top Bottom