Wanawake wakikuangalia halafu wakaanza kucheka cheka huwa wanamaanisha nini?

Wanawake wakikuangalia halafu wakaanza kucheka cheka huwa wanamaanisha nini?

Heri ya sikukuu wana MMU.

Nina scenario 2 za hili tukio kunitokea.

1. Jumatatu ya wiki iliyopita kulikuwa na mvua kubwa sana jijini dsm ambayo ilisababisha ukosefu wa usafiri wa daladala kwa tulio wengi hivyo watu ilibidi watembee wakitoka makazini kurudi makwao mimi nikiwa mmojawapo sasa kwenye kutembea nilikutana na kundi la madem 3 walikaa kama waajiriwa(Junior) au wanachuo hivi na age group yao kwa kuwaangalia ni 20's tu nilivyokuwa natembea nyuma yao mmoja aligeuka nyuma nakuniona akamkonyeza rafikiye na yy akaniangalia pia.

Ghafla nikaona wanaanza kucheka cheka 😡 nilijifanya kama sijaoni ila niliwasoma vizuri kabisa nikapita zangu huku nyuma nikasikia wananiongelea vi maneno ila sikuyasikia vizuri


2. Jana nimetoka kwenye ofisi moja maeneo ya posta nilienda kufatilia ishu flani ilikuwa jioni ya saa 11 hivi natoka mara nashangaa nako kuna madem (wafanyakazi wa kikee) kama 4 kabla sijapita walikuwa wanaongea ongea mambo yao wakati napita mara nao wakanicheka yaabi unaona hapa ni mimi ndo ninayechekwa 🤔 duuh sikugeuka nyuma nikaendelea na safari yangu.

Hayo ni matukio mawili ninayoyakumbuka vizuri sasa wakuu hii ina maana gani?

N.B kwenye scenario zote sikusalimia demu yeyote sababu i dont greet strangers 😎.

Nakaribisha maoni


Hii picha haihusiani na mada 😁
View attachment 2978277
Mwanamke akicheka au kusmile akuonapo maana yake kubwa kuliko zote ni kwamba anajisikia salama, yaani hakuoni kama utamdhuru. Watoto nao wapo hivyo.
Hiyo ni dalili nzuri kama unamtamani kwa sababu inatengeneza urahisi wa kuongea nae.
Inaweza akawa anakupenda, au anakuona upo weird au umekaa funny.
Don't take it negatively kuwa upon weird or funny. Hizo zote ni gear nzuri za kuongea na mwanamke.
Ili mradi usimwambie kuwa anakuona ukicheka kila ukiniona.
Umsifie, anza kwa kuonyesha kuwa najua ushaambiwa Mara nyingi ......
Omba insta, siyo simu.
 
Heri ya sikukuu wana MMU.

Nina scenario 2 za hili tukio kunitokea.

1. Jumatatu ya wiki iliyopita kulikuwa na mvua kubwa sana jijini dsm ambayo ilisababisha ukosefu wa usafiri wa daladala kwa tulio wengi hivyo watu ilibidi watembee wakitoka makazini kurudi makwao mimi nikiwa mmojawapo sasa kwenye kutembea nilikutana na kundi la madem 3 walikaa kama waajiriwa(Junior) au wanachuo hivi na age group yao kwa kuwaangalia ni 20's tu nilivyokuwa natembea nyuma yao mmoja aligeuka nyuma nakuniona akamkonyeza rafikiye na yy akaniangalia pia.

Ghafla nikaona wanaanza kucheka cheka 😡 nilijifanya kama sijaoni ila niliwasoma vizuri kabisa nikapita zangu huku nyuma nikasikia wananiongelea vi maneno ila sikuyasikia vizuri


2. Jana nimetoka kwenye ofisi moja maeneo ya posta nilienda kufatilia ishu flani ilikuwa jioni ya saa 11 hivi natoka mara nashangaa nako kuna madem (wafanyakazi wa kikee) kama 4 kabla sijapita walikuwa wanaongea ongea mambo yao wakati napita mara nao wakanicheka yaabi unaona hapa ni mimi ndo ninayechekwa 🤔 duuh sikugeuka nyuma nikaendelea na safari yangu.

Hayo ni matukio mawili ninayoyakumbuka vizuri sasa wakuu hii ina maana gani?

N.B kwenye scenario zote sikusalimia demu yeyote sababu i dont greet strangers 😎.

Nakaribisha maoni


Hii picha haihusiani na mada 😁
View attachment 2978277 Pengine wamekufananisha na bumunda au bombonya!
Penaine
 
Kwaiyo itakuwa kisa nimekonda?

Sema mi ni mwembamba kinoma kama njiti vile sijui chakula kinaendaga wapi asee.

🤣
Itakuwa ni sababu pia, watu wengi wana asili ya kushangazwa na muonekano wa mtu. Akiwa mnene sana au mwembamba sana kama mshale mange kimambi au mfupi au mrefu sana.

Sipendi watu wanaocheka watu na kuwateta wakatizapo, hata nikiwa na mtu akafanya hivyo huwa namuona lofa fulani hivi.
 
Heri ya sikukuu wana MMU.

Nina scenario 2 za hili tukio kunitokea.

1. Jumatatu ya wiki iliyopita kulikuwa na mvua kubwa sana jijini dsm ambayo ilisababisha ukosefu wa usafiri wa daladala kwa tulio wengi hivyo watu ilibidi watembee wakitoka makazini kurudi makwao mimi nikiwa mmojawapo sasa kwenye kutembea nilikutana na kundi la madem 3 walikaa kama waajiriwa(Junior) au wanachuo hivi na age group yao kwa kuwaangalia ni 20's tu nilivyokuwa natembea nyuma yao mmoja aligeuka nyuma nakuniona akamkonyeza rafikiye na yy akaniangalia pia.

Ghafla nikaona wanaanza kucheka cheka 😡 nilijifanya kama sijaoni ila niliwasoma vizuri kabisa nikapita zangu huku nyuma nikasikia wananiongelea vi maneno ila sikuyasikia vizuri

2. Jana nimetoka kwenye ofisi moja maeneo ya Posta nilienda kufatilia ishu flani ilikuwa jioni ya saa 11 hivi natoka mara nashangaa nako kuna madem (wafanyakazi wa kikee) kama 4 kabla sijapita walikuwa wanaongea ongea mambo yao wakati napita mara nao wakanicheka yaabi unaona hapa ni mimi ndo ninayechekwa 🤔 duuh sikugeuka nyuma nikaendelea na safari yangu.

Hayo ni matukio mawili ninayoyakumbuka vizuri sasa wakuu hii ina maana gani?

N.B kwenye scenario zote sikusalimia demu yeyote sababu i dont greet strangers 😎.

Nakaribisha maoni

Hii picha haihusiani na mada 😁
View attachment 2978277
Wanakualika uwatongoze.
 
Heri ya sikukuu wana MMU.

Nina scenario 2 za hili tukio kunitokea.

1. Jumatatu ya wiki iliyopita kulikuwa na mvua kubwa sana jijini dsm ambayo ilisababisha ukosefu wa usafiri wa daladala kwa tulio wengi hivyo watu ilibidi watembee wakitoka makazini kurudi makwao mimi nikiwa mmojawapo sasa kwenye kutembea nilikutana na kundi la madem 3 walikaa kama waajiriwa(Junior) au wanachuo hivi na age group yao kwa kuwaangalia ni 20's tu nilivyokuwa natembea nyuma yao mmoja aligeuka nyuma nakuniona akamkonyeza rafikiye na yy akaniangalia pia.

Ghafla nikaona wanaanza kucheka cheka 😡 nilijifanya kama sijaoni ila niliwasoma vizuri kabisa nikapita zangu huku nyuma nikasikia wananiongelea vi maneno ila sikuyasikia vizuri

2. Jana nimetoka kwenye ofisi moja maeneo ya Posta nilienda kufatilia ishu flani ilikuwa jioni ya saa 11 hivi natoka mara nashangaa nako kuna madem (wafanyakazi wa kikee) kama 4 kabla sijapita walikuwa wanaongea ongea mambo yao wakati napita mara nao wakanicheka yaabi unaona hapa ni mimi ndo ninayechekwa 🤔 duuh sikugeuka nyuma nikaendelea na safari yangu.

Hayo ni matukio mawili ninayoyakumbuka vizuri sasa wakuu hii ina maana gani?

N.B kwenye scenario zote sikusalimia demu yeyote sababu i dont greet strangers 😎.

Nakaribisha maoni

Hii picha haihusiani na mada 😁
View attachment 2978277
Eeh
 
Back
Top Bottom