X GIRL FRIEND
Member
- Sep 2, 2011
- 69
- 21
ha! Mi nilikua natarajia kufunga ndoa na bibie wa kimachame dec 28 niahirishe nini?
huna jipya.
nikweli usemalo lkn tatizo la hawa shemeji zangu mkishachuma nae unaondoshwa au mgawane!mwanamke asiyependa pesa karne hii hafai kuolewa achilia mbali kuwa nyumba ndogo!
si swala la ukabila wala nini ni swala la ukweli halisi, hawa watu wanapenda hela balaa yani wako tayari kwa lolote ilmradi hela iwe mikononi mwao hasa mkiwa mmeshachumachuma vijimali utaipata au ufe au mtengane mgawane atafute dogodogo, alafu niwakorofi balaa hawafai aisee labda aolewe na mmachame mwenzie.
umejuaje kama sijafanya research? Usinichambishe kabla sijamaliza kunywano research no right to speak. Umefanya hivyo la sivyo acha mawazo ya kizee!!!!!!
la kitandani ni la kujifunza hayo nisemayo mimi ni asili mjombalakini ni wazuri na siku hizi wanajishugulisha kweli wakiwa kitand.ni
asante kwa ushuhuda uliotoani kweli mi my uncle alitumiwa majambazi na mkewe auliwe ili mke arithi mali akaishia segerea na talaka juu now ana mtoto wa kiparee safiii mchudhi na picha ya thamaki kwa kwenda mbelee..life tamu hawafai hawa watu hata kwa ubani.
patatosha tu kwani hata wao wanajua huu ndo ukweli halisipole kama yamekukuta. Ngoja waje hapa hapatatosha..