Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mtoto kaolewa kwani?A'Palace...7th floor
Ila wakizivua
Huyo ndio mzuri😂 keyloggs zake nyepesiHajaolewa, ila ni Mtoto wa Baba
Wakwako ni yupi hapo au na ww ni mzee wa kusimamia ukucha kama manguli wenzako dronedrakeKubali au Ukatae...iko hivyo
Wanawake wakivaa hizi nguo wanakuwa poa sanaa....halafu wanaonekana Classic wote yaani Wakishua hata kama sio....zaidi wanaonekana wasafi kumbe wengine hamna kitu...wanajikuta tu 😂
Povu za weekend ndio tunataka...karibu
WA kwangu nipo nae hapa MkuuWakwako ni yupi hapo au na ww ni mzee wa kusimamia ukucha kama manguli wenzako dronedrake
Hapo umejipata
Baada ya kuvua nguo za mazoeziHapo umejipata
Mpka nimedinda
UtailazaMkuu...embu tuone
Basi nione Yako..Utailaza
Endelea kuzipenda tu ila jua kuna maana mbaya sana kiroho. Kula link hiyo kwa upole utaelewa.Kubali au Ukatae...iko hivyo
Wanawake wakivaa hizi nguo wanakuwa poa sanaa....halafu wanaonekana Classic wote yaani Wakishua hata kama sio....zaidi wanaonekana wasafi kumbe wengine hamna kitu...wanajikuta tu 😂
Povu za weekend ndio tunataka...karibu
Ah kijana, mabinti wenye macho ya kurembua vipi?NAKAZIA.
Hadi niichajiBasi nione Yako..
Hapa tunaelewa malegends tu wazee wa kuvulisha vulisha.