Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Akili ya nini sasa; ata akiwa nayo haitamsaidia kumiliki kiwanda cha magari wala kisima cha mafuta.
Wao ni pambo la dunia
Wao ni pambo la dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti, huna akili etii?Labda huyo demu wako bwana...usipende kujumuisha kila kitu
Ninazo nyingiEti, huna akili etii?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]dahNdio demu wako huyo au?? acha kuturingishia mzee it seems kama unatupima akili siyo??
Si fahari yetu ni kuona huo mzigo ukinesa nesa 😀Ninazo nyingi
Mpaka mneseshaji ajue jinsi ya kuufanya uneseSi fahari yetu ni kuona huo mzigo ukinesa nesa 😀
Kumbe neema zipo😀Tutake radhiii! Wengine wanajitambua.
Unaonekana wewe ni mtundu sana pale kiwanjaniMpaka mneseshaji ajue jinsi ya kuufanya unese
...na manini makubwa yapo?🤣🤣Ninazo nyingi
Manini 😒...na manini makubwa yapo?🤣🤣
Kumekucha kumekucha kumekuchaUnaonekana wewe ni mtundu sana pale kiwanjani
Ebu weka kapicha turinganishe na akiliKumekucha kumekucha kumekucha
Hapa tunaongelea akili