ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #41
Procedures lazima zifuatweKama fomu ni moja tu, michango ya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Procedures lazima zifuatweKama fomu ni moja tu, michango ya nini?
Sikukuu yenu imepita juzi umeachwa huna akiliWewe mumeo ndio alikudanganya hivyo?
Dada angu tangu umeanza kwenda klinik umekuwa na hasira snUlitaka achangiwe mumeo? Ameoa bomu
Ndio Kwa nini wasichange? Bado watachanga wengi zaidi kuanzia wakulima Hadi wachimbaji wadogo
Ni unafiki tupu, wanaomtaka ni wale majangili wa mali za umma ambao ni wachache snSi tuliambiwa juzi hapa kwamba anajiamini hadi karuhusu na maandamano.
Zichapishwe fomu za kutosha ashindanishwe mwanademokrasia wetu.
Watu wanafukuzia teuziMonopposy Huwa inasumbua sana na inasababisha wengine kukosa hata akili
Tuwe makini na wanaopiga debe kuchagua wasichokijua.
Wengine Wameshindwa kujitokeza Kugombea au hata kutangaza kushindana na Samia 😆😆
CCM Ina utaratibu wakeKwamba Rais Samia Anao uwezo wa hali ya juu wa kuwa Rais wa JMT kuzidi wanachama zaidi ya milioni 10 waliopo CCM?
Ndio sheria na kanuni rasmi za CCM?
Tuna nchi ya kijinga sn, muda wote ipo kwenye kampeni, hizi fedha wangewachangia manesi waliopo pembezoni wanakesha na wagonjwa bila mapumziko
Wanadamu wana akili finyu sana, wao wanajuaje ya kesho???
Usijisifu kwa ajili ya kesho; Kwa maana hujui yatakayozaliwa na siku moja.
Mithali 27:1
wa kwenye zahanati vijijini wanafanya kazi 24hrs mkuu, sisi wa vijijini tunajua magumu yao maana ndiyo madaktari na kila kituWananchi wenyewe wako kwenye kampeni masaa 24.
Wakipoa kidogo kwenye Siasa, wanahamia TFF, upepo ukivuma wanahamia kwa Haji Manara.
Manesi wakuchangiwa ni hawa hawa waliopo Mwananyamala na Muhimbili sasa hivi?
CCM Ina utaratibu wake
Kahoji kwenye kikaoNi utaratibu rasmi kwenye Katiba ya CCM ama ni silent dictatorship ya Mwenyekiti anayekuwepo madarakani Kama Rais?