Wanawake wa siku hizi hawafai kuolewa we chapa mteme mpaka akifika 28years huko kashachoka rudi chini chukua wa 22 years endelea kuenjoy, wanawake watadanga na kuchuna sana wanaume but mwisho wa siku wao ndo watakaoumia kwa kuongeza body count, muda hautamsubiri, atatumiwa mara nyingi zaidi na kuachwa na mwisho kua single mom kabisa, NATURE IS CRUEL TO MEN TIME IS CRUEL TO WOMEN, THE GAME IS BRUTAL BUT STILL FAIR that's it👊🏿