Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Si kweliKila mtu ameandikiwa ataolewa na nani, lini, na muda gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweliKila mtu ameandikiwa ataolewa na nani, lini, na muda gani
Kumbe shukrani taarifaSio tu wa kuwaoa, bali hata wachumba, wapenzi au part time men. Na hii ndio sababu kuu ya kwanini wanawake wamejazana makanisani 90℅ kulinganisha na wanaume
Niliwahi kosa demu kisa nilimchana ukweli mm sina diniNimekutana na mrembo mmoja anakaribia 35. Hana mtoto na hajawahi kuolewa. Ni mzuri hasaa. Nikarusha ndoano. Akaniuliza, " kanisani huwa unahudhuria mara ngapi kwa wiki? nikamjibu kwamba huwa siendi kabisa. Akaniambia siwezi kuwa na mahusiano na mtu ambae haendi kanisani. Ni bora mara mia kuwa na mlevi anaekwenda kanisani hata mara moja[emoji3]
jiulize sasa kwanini na uzuri wote huo mpaka sasa hajaolewa? ni shida hapo.Nimekutana na mrembo mmoja anakaribia 35. Hana mtoto na hajawahi kuolewa. Ni mzuri hasaa. Nikarusha ndoano. Akaniuliza, " kanisani huwa unahudhuria mara ngapi kwa wiki? nikamjibu kwamba huwa siendi kabisa. Akaniambia siwezi kuwa na mahusiano na mtu ambae haendi kanisani. Ni bora mara mia kuwa na mlevi anaekwenda kanisani hata mara moja😀
inaonesha siku hizi mpaka mwanamke apate mtu wa kumuoa sio kazi rahisi. maana yake wanawake wengi hawapo kwenye uhusiano wowote.Sio tu wa kuwaoa, bali hata wachumba, wapenzi au part time men. Na hii ndio sababu kuu ya kwanini wanawake wamejazana makanisani 90℅ kulinganisha na wanaume
Bahati mbaya kuna wengine mechi zote wanashindwa. Na hapo ndio tatizo linapoanzia.Kila mtu ashinde mechi zake kikubwa pumzi!
Hahahahahah dah umezingua. Ungemwambia mara 3 na kwa sasa umepunguza ila ulikuwa hukosi ibada ya morning glory kila sikuNimekutana na mrembo mmoja anakaribia 35. Hana mtoto na hajawahi kuolewa. Ni mzuri hasaa. Nikarusha ndoano. Akaniuliza, " kanisani huwa unahudhuria mara ngapi kwa wiki? nikamjibu kwamba huwa siendi kabisa. Akaniambia siwezi kuwa na mahusiano na mtu ambae haendi kanisani. Ni bora mara mia kuwa na mlevi anaekwenda kanisani hata mara moja😀
Kila mtu ashinde mechi zake kikubwa pumzi!
Nakumbuka kuna mama aligoma kunitakia amani kipindi tupo kanisani, kuna ule mda Padre anasema sasa takianeni amani bwana wee nikaanza kugawa mikono nilipofika kwa yule mama akagoma kutoa mkono, nikasema hapa hakuna kanisa hawa wengine wadangaji tu shenzi typeKANISANI NDIO ENEO PEKEE KILA MTU NI MWENYE UKARIMU, HESHIMA, ADABU, UNYENYEKEVU, UTII, LUGHA NZURI-WEPESI WA KUTAMKA SAMAHANI, POLE, ASANTE AMEENI!!
Mkuu, chonga funguo ya gari ya kugushi. Halafu ivae kidoleni, muda wa kutakiana amani unaweza pigiwa na kagoti ka mchongoNakumbuka kuna mama aligoma kunitakia amani kipindi tupo kanisani, kuna ule mda Padre anasema sasa takianeni amani bwana wee nikaanza kugawa mikono nilipofika kwa yule mama akagoma kutoa mkono, nikasema hapa hakuna kanisa hawa wengine wadangaji tu shenzi type
Oshey mr 💰Na huyu wa kanisa akikunasa kama kupe aisee tena uumkute single maza. Atakupea yote yaani akushawishi umuoe
Mungu atusamehe tunawakula mwisho wa siku hatuwatimizii lengo lao la kuolewa
Aaah hawa watu akili zao inabidi zipigwe bustiNimekutana na mrembo mmoja anakaribia 35. Hana mtoto na hajawahi kuolewa. Ni mzuri hasaa. Nikarusha ndoano. Akaniuliza, " kanisani huwa unahudhuria mara ngapi kwa wiki? nikamjibu kwamba huwa siendi kabisa. Akaniambia siwezi kuwa na mahusiano na mtu ambae haendi kanisani. Ni bora mara mia kuwa na mlevi anaekwenda kanisani hata mara moja😀
Nimecheka kama fala 🤣🤣🤣🤣🤺🤺🤺Bahati mbaya kuna wengine mechi zote wanashindwa. Na hapo ndio tatizo linapoanzia.
Na mbaya zaidi unakuta kila mwisho wa juma, wanapeana zamu ya kupeleka msosi kwa mchungaji. Mwanamke anatoka ndani na mahotpot, tena mchungaji anapikiwa vizuri kuliko hata mwanaume wa ndaniUnakuta kanisa zima limejaa wanawake tupu mwanaume ni mchungaji pekee. Inafikirisha!
Saikolojia ya mwanamke anaijua Mola pekee[emoji1787][emoji1787]Waambie wasihangaike makanisani. Waende Fesibuku. Kule ni mwendo wa Kama unataka mume bora type AMEN.