Wanawake wana siri nyingi sana

Unakwama wapi mkuu rudi umalizie chai yako
 
Haya katika hiyo mambo siku hiyo tumepiga mzungu wa nne mtoto analazimisha.
E bwana kibinti nafkiri kilikua 19 hapo.
Mi nilikua busy makahaba nje huku.
Sasa nikaona isiwe tabu
Tukalambana pale
Nikafungua goli.
Nilikua wa kwanza(bikra)..
Duh kumbe kanitega akae pale km mke.
Kumbuka mwaka mzima niko nae sijamgusa.
Lakini Neema alivyokua ana ni take care kama mumewe.
Kutoboa jiko nikaona isiwe tabu
Si akae tu maskani nikirudi nakula mbususu nalala.
Bwana eeh mmachame yule kumbe anafocuss mbele huko.
Mara mimba pa.
ananiambia nna mimba yako 🙆‍♀️
Swali la kijinga
"nani alikuambia ushike mimba?
Si wewe umenitoboa na siku zote mi nipo hapa unantumia tu .
Sasa nazaa na wewe.
E bana mi siko tayari kuwa na familia katoe.
Mnywe maji kwanza kama kwenda kigoma ndo kwanza tupo chalinze😁
 
Chhb notify bhnkkd nmfffujk asubuhi hii jamani[emoji848]

Ila kwa awamu hii nimeingia cha kike na date na mmarangu yaani ikifika wikiendi tu ndio naitwa majina mazuri mazuri baby, sweetheart, nipe ratiba yako leo [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Na mpango wa kumuacha maana nikipiga hesabu na huu mshahara wangu wa uticha ndio nachoka kabisa.

Ila toto ni toto kweli, guu hilo lina jua mambo hatari sema ila na mpango wa kumpiga chini hivi karibuni [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Pole sana, mambo yao waachie wenyewe, siku nyingine usiwakalie uchi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…