Wanawake wana Ujasiri wa Ajabu sana!

Wanawake wana Ujasiri wa Ajabu sana!

Ogopa sana kiumbe Ke. Sasa naanza kuelewa kwanini mwanamke anasifika kuwa ni kiumbe kivumilivu. Mwanamke anaweza vumilia chochote ili tu apate kitu flani (kwa maisha ya sasa ni pesa). Kuna jamaa humu JF kupenda kuuliza kuwa hivi huyo uliyemuoa ni mkeo? Huwa ana maana kubwa sana.

Sasa hapo wanaweza ku enjoy hata kwa zaidi ya miaka miwili au hata wakaoana baada ya miaka hata 10 huko utasikia dem kaanzisha timbwili la Christina Shusho eti sina amani na huyu mwanaume au upuuzi mwingine tu. Au baada ya muda utakuta kibinti kinamburuza mwana mahakamani kwa kesi za akina R Kelly, Dan Alves, Benjamin Mendy nk.

Guys women, women, women, sijui wanatupeleka wapi🥲
 
Ogopa sana kiumbe Ke. Sasa naanza kuelewa kwanini mwanamke anasifika kuwa ni kiumbe kivumilivu. Mwanamke anaweza vumilia chochote ili tu apate kitu flani (kwa maisha ya sasa ni pesa). Kuna jamaa humu JF kupenda kuuliza kuwa hivi huyo uliyemuoa ni mkeo? Huwa ana maana kubwa sana.

Sasa hapo wanaweza ku enjoy hata kwa zaidi ya miaka miwili au hata wakaoana baada ya miaka hata 10 huko utasikia dem kaanzisha timbwili la Christina Shusho eti sina amani na huyu mwanaume au upuuzi mwingine tu. Au baada ya muda utakuta kibinti kinamburuza mwana mahakamani kwa kesi za akina R Kelly, Dan Alves, Benjamin Mendy nk.

Guys women, women, women, sijui wanatupeleka wapi🥲
Fear women
 
Back
Top Bottom