Wanawake wana visirani sana ila huyu wa leo kazidi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie.
 
Umeionaje Morogoro Mkuu? Nijibu chap kwa haraka
Morogoro mkoa mzuri sana kijiographia na fursa za biashara na kilimo ulipaswa kuwa number one kimaendeleo. Ila watu wake wengi wajuaji na wanatumia mitishamba sana kukwamishana.
 
Tumefika mzee alitoa bunda akamuuliza unashuka hushuki, akasema sishukiii, Kugeuka nyuma kuona bunda iliyoshikwa, akageuka akawambia "wanangu amkeni nimechoka hizi kelele"[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee acha tyuuh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wamevurugwa jaman, na venye maisha magumu ndo kabisaa,
Muwasamehe buree tyuuh.

Yaan nimecheka hadi machozi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watanzania wengi Wana matatizo ya akili ila hawajaenda tu hospitali.
Ni kweli ndugu. Ni vile tu hatuoni wakiokota makapo majalalani. Lakini kuna wagonjwa wengi wa akili wanaovaa suti na magauni maridadi kabisa. Tunaweza tu kuwatambua kwa MANENO na MATENDO yao, kama huyo abiria! Matendo ya hovyo na lugha chafu.
 
Mkuu, maelezo yote haya uliyarekodi au umeyakariri tu ? [emoji28]

Hongera sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi laumu maana hakuna ata mmoja wenu alijaribu kufahamu anasumbuliwa na nini hadi yeye kufanya au kujibu hivyo.

Ukute kuna tatizo binafsi limenfanya asafiri. Umeishia kuhukumu tuu mkuu.
Wabongo tumekuwa wepesi sana wa kuhukumu. Huyu mwanamke ni wa kusaidiwa na siyo kulaumiwa. People are passing through a lot.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio hujaelewa,
Tatizo la Afya ya Akili lisikieni hivi hivi na linatesa Dunia nzima, kwa maelezo ya mtoa mada ni wazi huyo mama ana tatizo la Afya ya Akili na kama amesema ana mtoto mchanga yaweza kua ana kichaa cha uzazi,

Kwenye Bus walipaswa kumuignore na safari ingeisha salama, kitendo cha kumzonga ndio kilichangia kucharusha kichaa chake,

Tukiweza kuelewana badala ya kuhukumiana, Tz itakua sehemu salama sana.
 
Haya kosa la mtoa mada lipo wapi...
Maana mimi ndio hoja yangu.
 
Poleni sana, kuna binadamu wana kelele sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…