Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 245
- 457
#Kuna demu nilimla yeye stori zake ni kushinda kanisani, nikaja kugundua rafiki yangu naye anamega, afu pigo zake ni zilezile za Mungu, nikagundua hapa wanapigwa wengi.
#Mwanamke Malaya hujifanya hatoi viashiria vya urafiki kwa wanaume wengine akiwa na mchumba anayemega kwa wakati huo. Wanawake wengi wapo hivi ni wanafiki wakiwa na wachumba wao. Ogopa demu anayejifanya kutotoa viashiria vya salamu, urafiki au ukarimu kwa wanaume ukiwa naye. Anakupumbaza tu
#Mara nyingi hupata dharura Kama huwa una ratiba ya kufanya naye mambo fulani ya msimgi Kama kumwelekeza biashara nk. Kama unamtongoza na mkapanga mtoke akapata dharura kila siku, jua kwamba anamegwa tena ujue dharura mmpewa mambumbumbu wengi. Atasema nimeitwa na mama kumbe ananyonya koni.
#Wana vibiashara vidogo Kama karanga au pipi ambavyo huwakutanisha na wanaume wengi. Anaweza akawa na kiofisi kidogo Kama kiduka kidogo ili kila siku ajipatie danga jipya. Anajifanya ana duka ili jamii isijue kuwa yeye ni malaya.
#Hukataa wanaume anaofanya nao kazi sehemu moja. Hujifanya mtu wa Mungu mbele yao. Huposti vitu vya Mungu status. Ndugu zangu huko nje hawa watu huwa ni balaa😁
#Wacha Mungu ni malaya sana. Kuwa nao makini.
#Mwanamke Malaya hujifanya hatoi viashiria vya urafiki kwa wanaume wengine akiwa na mchumba anayemega kwa wakati huo. Wanawake wengi wapo hivi ni wanafiki wakiwa na wachumba wao. Ogopa demu anayejifanya kutotoa viashiria vya salamu, urafiki au ukarimu kwa wanaume ukiwa naye. Anakupumbaza tu
#Mara nyingi hupata dharura Kama huwa una ratiba ya kufanya naye mambo fulani ya msimgi Kama kumwelekeza biashara nk. Kama unamtongoza na mkapanga mtoke akapata dharura kila siku, jua kwamba anamegwa tena ujue dharura mmpewa mambumbumbu wengi. Atasema nimeitwa na mama kumbe ananyonya koni.
#Wana vibiashara vidogo Kama karanga au pipi ambavyo huwakutanisha na wanaume wengi. Anaweza akawa na kiofisi kidogo Kama kiduka kidogo ili kila siku ajipatie danga jipya. Anajifanya ana duka ili jamii isijue kuwa yeye ni malaya.
#Hukataa wanaume anaofanya nao kazi sehemu moja. Hujifanya mtu wa Mungu mbele yao. Huposti vitu vya Mungu status. Ndugu zangu huko nje hawa watu huwa ni balaa😁
#Wacha Mungu ni malaya sana. Kuwa nao makini.