Wanawake wanaficha umalaya wao hivi, ni rahisi kuwajua

Wanawake wanaficha umalaya wao hivi, ni rahisi kuwajua

Apollo one spaceship

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2021
Posts
245
Reaction score
457
#Kuna demu nilimla yeye stori zake ni kushinda kanisani, nikaja kugundua rafiki yangu naye anamega, afu pigo zake ni zilezile za Mungu, nikagundua hapa wanapigwa wengi.

#Mwanamke Malaya hujifanya hatoi viashiria vya urafiki kwa wanaume wengine akiwa na mchumba anayemega kwa wakati huo. Wanawake wengi wapo hivi ni wanafiki wakiwa na wachumba wao. Ogopa demu anayejifanya kutotoa viashiria vya salamu, urafiki au ukarimu kwa wanaume ukiwa naye. Anakupumbaza tu

#Mara nyingi hupata dharura Kama huwa una ratiba ya kufanya naye mambo fulani ya msimgi Kama kumwelekeza biashara nk. Kama unamtongoza na mkapanga mtoke akapata dharura kila siku, jua kwamba anamegwa tena ujue dharura mmpewa mambumbumbu wengi. Atasema nimeitwa na mama kumbe ananyonya koni.

#Wana vibiashara vidogo Kama karanga au pipi ambavyo huwakutanisha na wanaume wengi. Anaweza akawa na kiofisi kidogo Kama kiduka kidogo ili kila siku ajipatie danga jipya. Anajifanya ana duka ili jamii isijue kuwa yeye ni malaya.

#Hukataa wanaume anaofanya nao kazi sehemu moja. Hujifanya mtu wa Mungu mbele yao. Huposti vitu vya Mungu status. Ndugu zangu huko nje hawa watu huwa ni balaa😁

#Wacha Mungu ni malaya sana. Kuwa nao makini.
 
Wanawake ni wajanja sana hasa ukiwa huwajui.

Dawa ya unapokutana na mwanamke malaya,mimi huwa nikianza mahusiano na binti huwa namchukulia kawaida sana hata simu nampigia mara moja kwa siku na akiwa na dharura simubani sana kumuuliza uliza sjui imekuwaje,huwa nakubali tu na kumwambia basi tufanye siku nyingine.

Mara nyingi mwanamke malaya usipompa attention sana baadae hubadilika na kuacha umalaya wake na kubaki na wewe ila ukitaka abaki na wewe inakupata ujue kupeleka moto hata mara moja moja na vihela utoe toe usiwe mchoyo sana
 
Binadamu ni wale wale. Usitegemee utatembea na wanawake 3 na mwenzako 2 na mwingine 6 bila kushare. Wanawake wanabadilishana wanaume na wanaume wanabadilishana wanawake. Ni suala la hesabu, hapo mkoani kwenu kuna idadi ya kutosha ya wanawake kila mwanaume atembee na 6 au 7 bila share?

Ukitaka hili lisitokee au lipungue kila mtu awe na mwanamke mmoja na awe mwaminifu.
 
Binadamu ni wale wale. Usitegemee utatembea na wanawake 3 na mwenzako 2 na mwingine 6 bila kushare. Wanawake wanabadilishana wanaume na wanaume wanabadilishana wanawake. Ni suala la hesabu, hapo mkoani kwenu kuna idadi ya kutosha ya wanawake kila mwanaume atembee na 6 au 7 bila share?

Ukitaka hili lisitokee au lipungue kila mtu awe na mwanamke mmoja na awe mwaminifu.
Uaminifu na tamaa hivi vitu havikai sehemu moja. Kwenye uaminifu jua tamaa haipo ila penye tamaa jua uaminifu hauwezi kuwepo.

Kama demu wako ni mtu wa matamaa tamaa jua lazma agongwe gongwe hovyo. Mfano mwepesi ni demu anaependa hela na urembo bila shughuli rasmi ya kumfanya ajiweze. Hawa wengi kwa tamaa hugongwa hovyo hata kama ana mtu anayempenda ila tamaa humzidia tu na kuchenjuliwa huwa ni kawaida.
 
#Kuna demu nilimla yeye stori zake ni kushinda kanisani, nikaja kugundua rafiki yangu naye anamega, afu pigo zake ni zilezile za Mungu, nikagundua hapa wanapigwa wengi.

#Mwanamke Malaya hujifanya hatoi viashiria vya urafiki kwa wanaume wengine akiwa na mchumba anayemega kwa wakati huo. Wanawake wengi wapo hivi ni wanafiki wakiwa na wachumba wao. Ogopa demu anayejifanya kutotoa viashiria vya salamu, urafiki au ukarimu kwa wanaume ukiwa naye. Anakupumbaza tu

#Mara nyingi hupata dharura Kama huwa una ratiba ya kufanya naye mambo fulani ya msimgi Kama kumwelekeza biashara nk. Kama unamtongoza na mkapanga mtoke akapata dharura kila siku, jua kwamba anamegwa tena ujue dharura mmpewa mambumbumbu wengi. Atasema nimeitwa na mama kumbe ananyonya koni.

#Wana vibiashara vidogo Kama karanga au pipi ambavyo huwakutanisha na wanaume wengi. Anaweza akawa na kiofisi kidogo Kama kiduka kidogo ili kila siku ajipatie danga jipya. Anajifanya ana duka ili jamii isijue kuwa yeye ni malaya.

#Hukataa wanaume anaofanya nao kazi sehemu moja. Hujifanya mtu wa Mungu mbele yao. Huposti vitu vya Mungu status. Ndugu zangu huko nje hawa watu huwa ni balaa😁

#Wacha Mungu ni malaya sana. Kuwa nao makini.
Kuna sehemu umekosea.
Sio wachamungu ni malaya, sema wanaojufanya wachamungu ni malaya
 
Back
Top Bottom