Wanawake wanakabiliwa na hali mbaya ya kiuchumi kuliko wanaume

Wanawake wanakabiliwa na hali mbaya ya kiuchumi kuliko wanaume

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554
Katika kilele Cha siku ya wanawake Duniani, uchumi wa mwanamke hasa mwanamke wa kiafrika ni duni kuliko uchumi wa mwanaume.

Wanawake wengi wa kiafrika hawamiliki Mali Kama ilivyo kwa sisi WANAUME, kuhusu za makusudi baina ya wanawake wenyewe wanapaswa kufanya ili kuinua uchumi wao ikiwa ni pamoja na kufanya kazi kwa bodii, kujifunza fursa mpya za kiuchumi na kupndoa mitazamo hasi baina Yao na jamii zetu ambapo mitazamo hiyo imepitwa na wakati.

Aidha wanawake wanapaswa kuondoa mitazamo ya kitegemezi na kuanza kufanya kazi kwa bidii ili kuweza kujiinua kiuchumi.

Pamoja na majukumu mengi waliyonayo ndugu zetu Hawa ikiwa ni pamoja na malezi wanapaswa kufikiria pia Njia za kuweza kujiinua kiuchumi.

Mwisho.
Napenda kuwatakia Maadhimisho mema.
 
Sasa watamilikije UCHUMI huku mawazo yao ya nahisi mkombozi wao ni uchi wao. Wavivu mno ndo maana wakianza kupitia miaka 20 and above bila kuolewa wanapagawa kwa sababu wanahisi wanaenda kupambana maishani kivyao bila msaada wa mwanaume.
 
Sasa watamilikije UCHUMI huku mawazo yao ya nahisi mkombozi wao ni uchi wao. Wavivu mno ndo maana wakianza kupitia miaka 20 and above bila kuolewa wanapagawa kwa sababu wanahisi wanaenda kupambana maishani kivyao bila msaada wa mwanaume.
Wanatakiwa waamke Sasa waondoe hizo dhana. Wafanye shughuli za kiuchumi kwa bidii
 
Mwanaume kuwapigia debe wanawake
Hasa ishu Hizi za isawa unafanya tukukutilie mashaka wewe pamoja na huo uanaume wako[emoji4]
 
Waliwahi kupambana kuwainua wanawake kiuchumi yakawakuta wakikuskia wanaweza kukuzaba makofi[emoji4]
 
Kiafrika
Jukumu la kuwainua wanawake
Tuachiwe sisi wanaume tuliooa[emoji4]

NYIE WAKATAA NDOA
MNA MCHANGO MDOGO SANA
KWENYE maendeleo ya BARA LETU[emoji4]
JamiiForums-1433532926.jpg
 
mwanamke anajua akiolewa na Juma Abas basi ametoka maisha
 
... tukiwa na stress wanatusaidia sana japo sometimes ni chanzo cha stress! Mola tusaidie. Kataa ndoa ni zaidi ya upumbavu!
Asante ubarikiwe sana na tumbo lililokuzaa libarikiwe🙏
 
Jiulize wanafunzi wa kike wanaomaliza Vyuo vikuu na sekandari wanafanya shughuli Gani ?
Wanaume wanaendesha boda boda na wengi unakuta Wana simu za viswaswadu. Sasa ukirudi Kwa dada zetu hawaendeshi boda boda Wala hawaokoti machupa Barabarani au kuchimba mitaro na ajira za wachina lakini dada zetu hao wanamiliki smartphone na kubadili nguo kila siku . Je, wanapata wapi pesa Hawa dada zetu?
Je ,hizi biashara zao zilizojificha zitadumu Kwa muda Gani na Nini hatima ya biashara hizo ?

Inaonekana Vijana wengi wa boda boda na wengi wanawadada nyuma yao wanaokaa na kusubiri pesa zao Kwa ajili ya vikoba. Hiyo mdada mmoja ana miliki boda boda watatu mpaka wanane na mfanyabishara au mfanyakazi mmoja . Ndio ajira ya Wanawake wanaomaliza Vyuo Kwa Sasa .

Wengi miaka Kumi na Tano ijayo mbele watakua na afaya mbaya kutokana na kubadilisha wanaume Kwa Lengo la kupata Fedha. Kizazi cha mwafrika kitakoma miaka 100 ijayo. Afrika itakua na watu wachache sana mana wengi watakuafa Kwa magonjwa ya tabia na ya kuambukiza . Wadada Wana miaka 25 Wana matumbo makubwa na matako makubwa na uzito mkubwa kuliko mifupa inayobeba minyama mingi kwenye UTI wa mgongo mdodo Hali kadhalika Vijana wa kiume . Miaka 30 wengi Wana mavitambi makubwa. Wakifikisha miaka 50 wengi watakua na magonjwa ya tabia . Boda boda nao kama alivyosema Lema wengi watakua na magonjwa ya pneumonia huku wakiwa hawana pesa kwani walikua wanazutumia kuwahinga Wanawake wasio na ajira na watoto wa Shule . Hatari na nusu.
 
Jiulize wanafunzi wa kike wanaomaliza Vyuo vikuu na sekandari wanafanya shughuli Gani ?
Wanaume wanaendesha boda boda na wengi unakuta Wana simu za viswaswadu. Sasa ukirudi Kwa dada zetu hawaendeshi boda boda Wala hawaokoti machupa Barabarani au kuchimba mitaro na ajira za wachina lakini dada zetu hao wanamiliki smartphone na kubadili nguo kila siku . Je, wanapata wapi pesa Hawa dada zetu?
Je ,hizi biashara zao zilizojificha zitadumu Kwa muda Gani na Nini hatima ya biashara hizo ?

Inaonekana Vijana wengi wa boda boda na wengi wanawadada nyuma yao wanaokaa na kusubiri pesa zao Kwa ajili ya vikoba. Hiyo mdada mmoja ana miliki boda boda watatu mpaka wanane na mfanyabishara au mfanyakazi mmoja . Ndio ajira ya Wanawake wanaomaliza Vyuo Kwa Sasa .

Wengi miaka Kumi na Tano ijayo mbele watakua na afaya mbaya kutokana na kubadilisha wanaume Kwa Lengo la kupata Fedha. Kizazi cha mwafrika kitakoma miaka 100 ijayo. Afrika itakua na watu wachache sana mana wengi watakuafa Kwa magonjwa ya tabia na ya kuambukiza . Wadada Wana miaka 25 Wana matumbo makubwa na matako makubwa na uzito mkubwa kuliko mifupa inayobeba minyama mingi kwenye UTI wa mgongo mdodo Hali kadhalika Vijana wa kiume . Miaka 30 wengi Wana mavitambi makubwa. Wakifikisha miaka 50 wengi watakua na magonjwa ya tabia . Boda boda nao kama alivyosema Lema wengi watakua na magonjwa ya pneumonia huku wakiwa hawana pesa kwani walikua wanazutumia kuwahinga Wanawake wasio na ajira na watoto wa Shule . Hatari na nusu.
Mungu aturehemu
 
Jiulize wanafunzi wa kike wanaomaliza Vyuo vikuu na sekandari wanafanya shughuli Gani ?
Wanaume wanaendesha boda boda na wengi unakuta Wana simu za viswaswadu. Sasa ukirudi Kwa dada zetu hawaendeshi boda boda Wala hawaokoti machupa Barabarani au kuchimba mitaro na ajira za wachina lakini dada zetu hao wanamiliki smartphone na kubadili nguo kila siku . Je, wanapata wapi pesa Hawa dada zetu?
Je ,hizi biashara zao zilizojificha zitadumu Kwa muda Gani na Nini hatima ya biashara hizo ?

Inaonekana Vijana wengi wa boda boda na wengi wanawadada nyuma yao wanaokaa na kusubiri pesa zao Kwa ajili ya vikoba. Hiyo mdada mmoja ana miliki boda boda watatu mpaka wanane na mfanyabishara au mfanyakazi mmoja . Ndio ajira ya Wanawake wanaomaliza Vyuo Kwa Sasa .

Wengi miaka Kumi na Tano ijayo mbele watakua na afaya mbaya kutokana na kubadilisha wanaume Kwa Lengo la kupata Fedha. Kizazi cha mwafrika kitakoma miaka 100 ijayo. Afrika itakua na watu wachache sana mana wengi watakuafa Kwa magonjwa ya tabia na ya kuambukiza . Wadada Wana miaka 25 Wana matumbo makubwa na matako makubwa na uzito mkubwa kuliko mifupa inayobeba minyama mingi kwenye UTI wa mgongo mdodo Hali kadhalika Vijana wa kiume . Miaka 30 wengi Wana mavitambi makubwa. Wakifikisha miaka 50 wengi watakua na magonjwa ya tabia . Boda boda nao kama alivyosema Lema wengi watakua na magonjwa ya pneumonia huku wakiwa hawana pesa kwani walikua wanazutumia kuwahinga Wanawake wasio na ajira na watoto wa Shule . Hatari na nusu.
Nihuzuni
 
Back
Top Bottom