Wanawake wanakusubiri kwenye finish line

Mwanangu nimekutumia M-PESA 10000
na kam weekend upo DSM nichek
tuna BEACH PART babu kubwa la kukata na mundu ni wewe tu kuja na pamba kali unyunyu wa maaana
Mademu utawakuta wa kumwaga
Ni muda wa kutafuna mbususu tu sasa
Mkuu Kulamkaaaa, ausindileee, jamaa huwa akitoa neno anapiga mulemule.
 
Tena kwa msisitizo umeamua kuweka chingereza zaidi🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe miso misondo umepigaje hapo,
Ngoja niendelee kukomaa hayo uliyoandika ndiyo napitia mimi sasa hivi
 
Naunga mkono hoja
 
Mkuu huyo binti ni wa mkoa gani? Na mpaka sasa maisha yake yapoje? Kipindi pia wewe unajitafuta, je na yeye alikuwa ana kikazi chochote kile?
 
Wewe miso misondo umepigaje hapo,
Ngoja niendelee kukomaa hayo uliyoandika ndiyo napitia mimi sasa hivi
Pambana mkuu, na utakapojipata don't settle for less., sio wewe upo kwenye starting line wanawake wanakitombesha tu kwa wahuni halafu ukifika finish line unawakuta washachoka, matiti yameshuka kama kandambili, washakua single mothers ndo wanakujia na misemo yao eti watu wanabadilika, maisha yamenifundisha, past doesn't matter na upumbavu wao mwingine, piga chini izo takataka unless if you want to pipe and swipe.
 
Jamaa kwa kupiga Spana hujambo
 
Wanawake wanafikiri kitendo cha kuwa around tu wakati mwanaume anajitafuta basi wana haki ya kunufaika na mafanikio pale mwanaume uyo atakapojipata.

Hawajitathmini mchango wao kipindi mwanaume uyo anajitafuta. Wakifanya wema sana basi ni kukupa sex wakifikiri huo ndio wajibu wao pekee.


Hapa suala sio mwanamke kuanza chini na mwanaume suala ni uyo mwanamke alikua na output ipi kwenye iyo safari ya mapambano. Kama katika iyo safari alichokua anaprovide mwanamke ni sex tu basi uyo ni halali kuachwa
 
noma sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…