tueur de lion
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 902
- 781
Me mwenyewe yamenikuta hayoNakumbuka cku moja kuna Bwana namfahan ndoa yake ilikuwa inataka kupinduka,yeye na mkewe wakaitwa mahali kwaajili ya kushauriwa.Kila m2 alipewa nafas ya kuzungumza lkn ilipofika zamu ya mwanamke alimsema mumewe mbele ya wazaz wa pande zote na ndugu wengine kwa maneno haya huku akilia "Ww unajiita mwanaune lakn huna uwezo wa kunit*mb* nikaridhika,k*ma la m*ma yako ms*ng* Ww" watu wote iliwabidi waondoke mmoja mmoja bila kuaga.Kilichonishangaza ni kuwa mbona wameishi kwa muda mref mpaka wamezaa watoto wawili na kuanzisha mirad mbalimbali!!! Women are so geneous
Yan nimechekaaaas kama mazuriiNakumbuka cku moja kuna Bwana namfahan ndoa yake ilikuwa inataka kupinduka,yeye na mkewe wakaitwa mahali kwaajili ya kushauriwa.Kila m2 alipewa nafas ya kuzungumza lkn ilipofika zamu ya mwanamke alimsema mumewe mbele ya wazaz wa pande zote na ndugu wengine kwa maneno haya huku akilia "Ww unajiita mwanaune lakn huna uwezo wa kunit*mb* nikaridhika,k*ma la m*ma yako ms*ng* Ww" watu wote iliwabidi waondoke mmoja mmoja bila kuaga.Kilichonishangaza ni kuwa mbona wameishi kwa muda mref mpaka wamezaa watoto wawili na kuanzisha mirad mbalimbali!!! Women are so geneous
Sio wote dear.Napata ukakasi wa kung'amua akili ya wanawake ilivyoumbwa,usiombee siku moja ujichanganye kwenye kumi na nane za hawa watu wakiwa wamechafuka nyongo zao,hakika utajuta kuwepo kwenye huu ulimwengu.
Maneno yatokayo kwenye vinywa vyao hayafahi kunukuliwa,ni matusi makali ambapo ukitupiwa moja tu unaweza kujikuta upo kwenye wodi za agakhan bila kujitambua
Wanawake ukiwajali utakuwa chizi humu duniani.
Hupaswi kuendeshwa na maneno ya wanawake. Na wakijua hivyo hawawezi kukutukana.
Ukiwapa uzito wanawake umeumia mkuu.
Kwa makofi......[emoji23] [emoji23] [emoji23]Na ndo maana ulipewa mikono yenye viganja ili kuwanyamazisha..
Jitahidi umiliki wallet iliyotuna uone kama watanyayua kinywa kukutukanaNapata ukakasi wa kung'amua akili ya wanawake ilivyoumbwa,usiombee siku moja ujichanganye kwenye kumi na nane za hawa watu wakiwa wamechafuka nyongo zao,hakika utajuta kuwepo kwenye huu ulimwengu.
Maneno yatokayo kwenye vinywa vyao hayafahi kunukuliwa,ni matusi makali ambapo ukitupiwa moja tu unaweza kujikuta upo kwenye wodi za agakhan bila kujitambua
Mama yako asingekupa uzito pengine leo usingekuwepo hapa kuyasema hayo.
tusipende ku generalize mambo jamani, sio wanawake wote ni wa hovyo, sikatai wanawake wengi wa karne hii wamekuwa wasumbufu, lkn hili halipo kwa upande wao tu, hata sisi wanaume tunaongoza kwa madudu.