sijaona mtu anaetetea mzigo uliotahiriwa kwenye ugegedaji....je hamna memba mdashosti alieonja aina zote mbele na ku-come up with a conclusive analysis? je hamna kidume mmoja aliegegedi before and after (sweater hand removal) akaja na ushuhuda utamu aliupata wakati gani?
SHANTA
hongera kwa kuwa na mkono wa sweta naona unajisifia kwel, uchafu mtupu naona unautafuta ukimwi kwa bidii zote ongeza juhudi, ila wapo watakao kuja kukukumbusha hayo maneno ukiwa umelala kitandan na huwez kufanya kitu chochote.badilika.
ukimwi haupaswi kukumbukwa wakati wa maraha.
Nimehamia maeneo ya Ukonga siku si nyingi nikikimbia Tabata nilikokuwa nikiishi.
Kilicho nikimbiza Tabata ni kero ya wanawake pale mtaani, kila mwanamke anataka nilale nae.
Huku Ukonga nilimuonja mmoja, akaenda kumwambia mwenzake kuwa nina hazina ya maraha iliyofichika.
Mwenzake akaja, sikumnyima.
Tangu nimehamia huku tayari nimesha wagegeda tisa, na wamesha anza kupigana kwa ajili yangu.
Siri iliyoko nyuma ya pazia ni kwamba, wanafuahishwa sana na mkono wangu wa sweta.
Kwa sasa sitaki tohara, mpaka ntakapofikisha miaka sitini
Cha mtu mavipromo kwa watu kuleeeeeee,
ambako sasa madaktari wahimiza vikatwe hivyo vigovi kuondoa maambukizi ya maradhi ya ngono.
Upuuzi mwingine wa kushabikia govi
Unaijua JF wewe?hongera kwa kuwa na mkono wa sweta naona unajisifia kwel, uchafu mtupu naona unautafuta ukimwi kwa bidii zote ongeza juhudi, ila wapo watakao kuja kukukumbusha hayo maneno ukiwa umelala kitandan na huwez kufanya kitu chochote.badilika.
Na njumu za Abedi Mzibakwa hiyo unakamua peku peku
Dharmendra Sing Deolgovindaaaaaaaa
Arusha sehemu gani?Ukija Arusha ujtakatwa kwa nguvu mjomba inahifadhi mauchafu hiyo
Kuna uchaguzi gani tena??sifa za kijingaa huogopi ukimwi na hilo sueta lako?-enzi hizi wakati kunakampeni maalumu kupunguza hiyo mikono ya sueta wewe unajisifia
Malyenge unabisha nini sasa? Unaisifia/ unaipondea mvua kwa sababu imekunyeshea?
Nimehamia maeneo ya Ukonga siku si nyingi nikikimbia Tabata nilikokuwa nikiishi.
Kilicho nikimbiza Tabata ni kero ya wanawake pale mtaani, kila mwanamke anataka nilale nae.
Huku Ukonga nilimuonja mmoja, akaenda kumwambia mwenzake kuwa nina hazina ya maraha iliyofichika.
Mwenzake akaja, sikumnyima.
Tangu nimehamia huku tayari nimesha wagegeda tisa, na wamesha anza kupigana kwa ajili yangu.
Siri iliyoko nyuma ya pazia ni kwamba, wanafuahishwa sana na mkono wangu wa sweta.
Kwa sasa sitaki tohara, mpaka ntakapofikisha miaka sitini
mtoboa siri utakuwa wewe Mtoboasiri? Mtoboasiri nimetulia zangu kimya na mkono wa sweta sio siri tenaAh Bujibuji weee!