Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

kuna uhusiano gani kati ya kutokutahiriwa na na raha wakati wa kujamiiana?
 
Duuuh, mkuu unajisifia mkono wa sweta? Lazima utakua unamkubali sana sterling wa kihindi aendae kwa jina la Govinda.
 
Miaka hii sio sifa tena kusema umetembea na mtaa mzima, hlf Huo mkono sweta unakuongezea hatari zaid. Hiyo miaka 60 unaweza usifike.
 


Angalia usije mwagiwa Tindikali maana kati ya ulio wagegeda wengine wanaweza kuwa wake/mademu za watu
 
Nakusubir ulewe nikufunge kamba nikupeleke hospital maana licha ya kututia aibu uko kwenye risk kubwa ya kupata STD's.
 
mi nafikiri ututafutie mmoja kama lara1 tuone kama naye atakuvulia kofia..infact akinyoosha mikono juu ntafurahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…