Wanawake wananipenda kwa sababu sijatahiriwa

mamods wapya kweli mnachekesha , yaani thread imekaa mmu mwaka mzima eti leo mnakurupuka kuihamisha...........
 
Last edited by a moderator:
hata mm wananishangaza labda wameona hakuna jipya siku hzi ndo mana wameamua kufufua vitu vyetu vya nyuma

tumewaachia vigoli vipya vya kidot com navyo vitoe thread ila tukiingia tutaingia tena kwa fujo zilezile

mamods wapya kweli mnachekesha , yaani thread imekaa mmu mwaka mzima eti leo mnakurupuka kuihamisha...........
 
hivi bujibuji hayo ni maneno yako ama????
 
Hii post ni soo, duh, nimechekaje mie mtoto wa Kizigua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…