Wanawake Wanaobadili Jinsia katika Magereza ya Marekani waamriwa kuhamishiwa Magereza ya Wanaume

Wanawake Wanaobadili Jinsia katika Magereza ya Marekani waamriwa kuhamishiwa Magereza ya Wanaume

Hujaelewa Hao ni wanaume ambao wamejidunga sindano za homoni kupata muonekano wa kike ( shemales)
Soma heading na maelezo ya mleta mada kwa umakini zaidi,

Wanawake waliobadili jinsia,
Haijaandikwa Wanaume waliobadili jinsia.

Ingeandikwa Wanaume waliobadili jinsia ndio ungekua upo sahihi.
 
Na wale wanaume waliojibadilisha jinsia na kuwa wanawake nao watahamishiwa kwenye gereza la wanawake?
 
Yaan nacheka kama mazuri 😂😂😂😂😂
 
Katika mabadiliko makubwa ya sera, utawala wa Trump umeamuru kwamba wanawake wanaobadili jinsia (transgender women) walioko katika magereza ya Marekani wahamishiwe kwenye magereza ya wanaume. Uamuzi huu tata umeibua mijadala mikali kuhusu haki za watu wanaobadili jinsia, mageuzi ya mfumo wa magereza, na usalama wa wafungwa.

Hatua hii inawaathiri maelfu ya wanawake wanaobadili jinsia kote nchini, na kusababisha wasiwasi mkubwa juu ya usalama wao katika magereza ya wanaume. Watetezi wengi wa haki za binadamu wanasema sera hii inahatarisha ustawi wa wafungwa wanaobadili jinsia, huku wengine wakidai kuwa ni muhimu kudumisha mgawanyo wa kijinsia katika magereza.

Uamuzi huu unatarajiwa kuathiri kesi za kisheria zinazoendelea kuhusu jinsi watu wanaobadili jinsia wanavyotendewa katika mfumo wa magereza ya Marekani. Wabunge na mashirika ya utetezi wa haki za binadamu wanatarajiwa kushinikiza sheria mpya zitakazolenga usalama na haki za kibinadamu za watu wanaobadili jinsia walioko magerezani.

View attachment 3215238
YUko sahihi,si wanataka kuwa wanaume sasa kelele za nini tena...
 
Unataka
Trump anapiga kila kona,ameanza na suala la talaka,sasa yupo na wafungwa wanawake wanaobadili jinsia,najua suala la wahamiaji haramu na mashoga atakuja na sheria kali. Ivi mm ni me, je naweza badili jinsia na kuwa ke niwe napigwa miti? Inawezekana?
upigwe miti?
 
H

HIi hatari sana watabakwa sana magereza ya kiume trump ana akili fupi sana, huwezi kuwaadhobu watu namna hii ,huu ni uuwaji pamoja na makosa yao
Atabakwa vipi na yeye huku mbele ni mwanaume...?
 
Trump anapiga kila kona,ameanza na suala la talaka,sasa yupo na wafungwa wanawake wanaobadili jinsia,najua suala la wahamiaji haramu na mashoga atakuja na sheria kali. Ivi mm ni me, je naweza badili jinsia na kuwa ke niwe napigwa miti? Inawezekana?
Inawezekana. - Uko tayari mkuu, Mimi ni dalali wa huo mchongo? 😂
 
Katika mabadiliko makubwa ya sera, utawala wa Trump umeamuru kwamba wanawake wanaobadili jinsia (transgender women) walioko katika magereza ya Marekani wahamishiwe kwenye magereza ya wanaume. Uamuzi huu tata umeibua mijadala mikali kuhusu haki za watu wanaobadili jinsia, mageuzi ya mfumo wa magereza, na usalama wa wafungwa.

Hatua hii inawaathiri maelfu ya wanawake wanaobadili jinsia kote nchini, na kusababisha wasiwasi mkubwa juu ya usalama wao katika magereza ya wanaume. Watetezi wengi wa haki za binadamu wanasema sera hii inahatarisha ustawi wa wafungwa wanaobadili jinsia, huku wengine wakidai kuwa ni muhimu kudumisha mgawanyo wa kijinsia katika magereza.

Uamuzi huu unatarajiwa kuathiri kesi za kisheria zinazoendelea kuhusu jinsi watu wanaobadili jinsia wanavyotendewa katika mfumo wa magereza ya Marekani. Wabunge na mashirika ya utetezi wa haki za binadamu wanatarajiwa kushinikiza sheria mpya zitakazolenga usalama na haki za kibinadamu za watu wanaobadili jinsia walioko magerezani.

View attachment 3215238
Trump kama lisu tu, hacheki na kima
 
Hii amri imekaa poa sana.

By the way;
Hivi kubadili jinsia Huwa kinafanywaje haswa? Kwa Wenye ufahamu.
Nenda youtube utaona kila kitu ni operation kabisaa na wanaziba papuchi wanawekewa mkonga
 
Back
Top Bottom