The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Soma heading na maelezo ya mleta mada kwa umakini zaidi,Hujaelewa Hao ni wanaume ambao wamejidunga sindano za homoni kupata muonekano wa kike ( shemales)
lakini ile kitu si wanayo ipo au imezibwa?Nivwale tomboy ila hawawezi kuwa kama wanaume kabisa ilo no kutokana na mfumo wa binadamu
Wengine wanayo bandia ila wengine hawana shimo lipo pale pale kma una mfahamu chokuu yule kafanya upasuaji wa maziwa ila yeye mwanaume now ana maziwa ila sio kama ya mwanamke yake katikati kuna uwazi mkubwalakini ile kitu si wanayo ipo au imezibwa?
ndio wahesabike kuwa ni wanawake? Au wamekatwa dushe na kubakiwa na shimo tu?Hujaelewa Hao ni wanaume ambao wamejidunga sindano za homoni kupata muonekano wa kike ( shemales)
Wewe nawe ficha ujinga wako. Kwahiyo hao wanachofanya ni sahihi na sasa wanaonewa. Kila kitu kina consequence zake haya moja ya athari ni hizo wapambaneH
HIi hatari sana watabakwa sana magereza ya kiume trump ana akili fupi sana, huwezi kuwaadhobu watu namna hii ,huu ni uuwaji pamoja na makosa yao
YUko sahihi,si wanataka kuwa wanaume sasa kelele za nini tena...Katika mabadiliko makubwa ya sera, utawala wa Trump umeamuru kwamba wanawake wanaobadili jinsia (transgender women) walioko katika magereza ya Marekani wahamishiwe kwenye magereza ya wanaume. Uamuzi huu tata umeibua mijadala mikali kuhusu haki za watu wanaobadili jinsia, mageuzi ya mfumo wa magereza, na usalama wa wafungwa.
Hatua hii inawaathiri maelfu ya wanawake wanaobadili jinsia kote nchini, na kusababisha wasiwasi mkubwa juu ya usalama wao katika magereza ya wanaume. Watetezi wengi wa haki za binadamu wanasema sera hii inahatarisha ustawi wa wafungwa wanaobadili jinsia, huku wengine wakidai kuwa ni muhimu kudumisha mgawanyo wa kijinsia katika magereza.
Uamuzi huu unatarajiwa kuathiri kesi za kisheria zinazoendelea kuhusu jinsi watu wanaobadili jinsia wanavyotendewa katika mfumo wa magereza ya Marekani. Wabunge na mashirika ya utetezi wa haki za binadamu wanatarajiwa kushinikiza sheria mpya zitakazolenga usalama na haki za kibinadamu za watu wanaobadili jinsia walioko magerezani.
View attachment 3215238
upigwe miti?Trump anapiga kila kona,ameanza na suala la talaka,sasa yupo na wafungwa wanawake wanaobadili jinsia,najua suala la wahamiaji haramu na mashoga atakuja na sheria kali. Ivi mm ni me, je naweza badili jinsia na kuwa ke niwe napigwa miti? Inawezekana?
Atabakwa vipi na yeye huku mbele ni mwanaume...?H
HIi hatari sana watabakwa sana magereza ya kiume trump ana akili fupi sana, huwezi kuwaadhobu watu namna hii ,huu ni uuwaji pamoja na makosa yao
Inawezekana. - Uko tayari mkuu, Mimi ni dalali wa huo mchongo? 😂Trump anapiga kila kona,ameanza na suala la talaka,sasa yupo na wafungwa wanawake wanaobadili jinsia,najua suala la wahamiaji haramu na mashoga atakuja na sheria kali. Ivi mm ni me, je naweza badili jinsia na kuwa ke niwe napigwa miti? Inawezekana?
Trump kama lisu tu, hacheki na kimaKatika mabadiliko makubwa ya sera, utawala wa Trump umeamuru kwamba wanawake wanaobadili jinsia (transgender women) walioko katika magereza ya Marekani wahamishiwe kwenye magereza ya wanaume. Uamuzi huu tata umeibua mijadala mikali kuhusu haki za watu wanaobadili jinsia, mageuzi ya mfumo wa magereza, na usalama wa wafungwa.
Hatua hii inawaathiri maelfu ya wanawake wanaobadili jinsia kote nchini, na kusababisha wasiwasi mkubwa juu ya usalama wao katika magereza ya wanaume. Watetezi wengi wa haki za binadamu wanasema sera hii inahatarisha ustawi wa wafungwa wanaobadili jinsia, huku wengine wakidai kuwa ni muhimu kudumisha mgawanyo wa kijinsia katika magereza.
Uamuzi huu unatarajiwa kuathiri kesi za kisheria zinazoendelea kuhusu jinsi watu wanaobadili jinsia wanavyotendewa katika mfumo wa magereza ya Marekani. Wabunge na mashirika ya utetezi wa haki za binadamu wanatarajiwa kushinikiza sheria mpya zitakazolenga usalama na haki za kibinadamu za watu wanaobadili jinsia walioko magerezani.
View attachment 3215238
Wanakua washatolewa mzigo wa kiume umewekwa wa kike mazee pamoja na matiti wanapigwa sindano wazungu kavu sana..Atabakwa vipi na yeye huku mbele ni mwanaume...?
Hujaelewa. Wanaume waliojibadilisha kuwa wanawake, wanarudishwa kwenye magereza ya wanaume.Sawa kabisa,
Si wametaka wenyewe uananume,basi wakae kwenye gereza la wanaume.
nimeuliza kujifunza nachukia sana mashoga,wabadili jinsia nk na nataka trump aseme kitu dhidi ya hawa watu.Inawezekana. - Uko tayari mkuu, Mimi ni dalali wa huo mchongo?
Nenda youtube utaona kila kitu ni operation kabisaa na wanaziba papuchi wanawekewa mkongaHii amri imekaa poa sana.
By the way;
Hivi kubadili jinsia Huwa kinafanywaje haswa? Kwa Wenye ufahamu.