Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Kitaalam hiyo wanaenda kufanya mazoezi.In most cases, hawa watu huwa wananyege sana.
Kwenda gym kwa ajili yakujikinga kupata hiyo kitu ni kama kuongeza petrol kwenye moto.
Hii sijui kitaalamu imekaaje....
Barber shop kweli hawajatulia. Sikujua kuhusu gym. Vp wale wanawake wanaokimbi barabarani?Wanawake wa gym hawana tofauti na Wanawake wa bebershop
Sanamkuuy nimefanya na tafitii.....kuna wakati huko nyuma wifi shemejiyenu alikuwa anaenda gym sijui nkasema niende nikakate tumboo nkamkuta yuko na mke wa bosi wangu na mke wa mfanyakazi mwenzangu wote ndan kumevurugwa π π nkaagaaa...Hii ina ukweli?
mwanamke anayeenda gym na hajatulia utamtambua kwa mavazi yake tu. Wengi wanapiga suruali za tight.Before Gym ilikuwa good wanawake wanaenda kweli kufuata mazoezi, ila kiukweli kabisa kwa sasa imegeuka kuwa fursa kwa wadada wengi wa mijini.
Kumbe nakosaga mengi?huwa ni mojawapo ya shughuli za kimkakati za kukutanisha waasherati wa mikoa mbali mbali.
Haya sasa wanaume wamevaa uhusika wa single ladies
Yaani wamekuwa wasemaji wa wanawake kuliko wanawake wenyewe π€£π€£π€£
Maswala yako ya marathon hayo mwanangu, hahaInaeleweka hio kwamba GYM ni eneo ambalo biashara ya uasherati imestawi sana kwa miaka ya hivi karibuni bila kusahau zile Jogging Clubs na events ambazo zinaandaliwa kikanda huwa ni mojawapo ya shughuli za kimkakati za kukutanisha waasherati wa mikoa mbali mbali.
Mi nakuita bikira maria vipi nimekupandisha cheo eti!!?Mtu anamuita demu malaya, ukimuuliza ameshawahi kukupa utamu? Hana jibu
Baadhi ya wanaume wakiona wameshindwa kumpata demu wanakimbilia kumuita malaya
ETI bikira πππππππMi nakuita bikira maria vipi nimekupandisha cheo eti!!?
Mkuu unanitisha!!!! Kwani nina ndugu yangu anafanya kazi kwenye BarbashopWanawake wa gym hawana tofauti na Wanawake wa bebershop
Au sio WATOMBANEkila mtu aishi maisha yake. wacha watu wapigane miti ileile
namna hiyo!Au sio WATOMBANE