Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Nipo mjombaSweet mshangazi mpambanaji wa jiji, upogo? Heshima yako ma'am.
-Kaveli-
Bado sijafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo mjombaSweet mshangazi mpambanaji wa jiji, upogo? Heshima yako ma'am.
-Kaveli-
Sehemu ya mazoeziGym ndonini waungwana
sasa mazoez ili nikomae😂Sehemu ya mazoezi
mtulie ndani mfanyishe watoto homeworksTukienda gym twaitwa maeurope
Tukiacha Janabi anatusema
Tukivaa tight tunauza, tukitembea barabarani for exercise tunauza sura. Dunia tambara zuri...😞
Si hamtaki kuoa waliosomamtulie ndani mfanyishe watoto homeworks
Kwa mke wa bossi usingeishia hapoSanamkuuy nimefanya na tafitii.....kuna wakati huko nyuma wifi shemejiyenu alikuwa anaenda gym sijui nkasema niende nikakate tumboo nkamkuta yuko na mke wa bosi wangu na mke wa mfanyakazi mwenzangu wote ndan kumevurugwa 😂 😂 nkaagaaa...
Nawe Tupe uzoefu wako huko Gym lo.Kuna mambo yanafurahisha sana...
Hakuna cha maana zaidi ya mazoezi...Nawe Tupe uzoefu wako huko Gym lo.
GymkanaGym ndonini waungwana
hapo ndo umenipoteza kabisaGymkana
Ni eneo maalum la kufanyia mazoezi ya viungo.hapo ndo umenipoteza kabisa
kuuumbeeeee mi sina hips ila siendi kuongeza zitanitesaNi eneo maalum la kufanyia mazoezi ya viungo.
Wadada wanaendaga kuongezea hips
Bakia na flat screen yako sasakuuumbeeeee mi sina hips ila siendi kuongeza zitanitesa
asante kwa ushaur mzuriBakia na flat screen yako sasa
Kama digidigi😁😁Wanaume tunawindwa Sana .
Sasa utamfundisha saa ngapi?Ili umfaidi Mwanamke anaefanya mazoezi inatakiwa wewe ndio uwe unamfundisha hayo mazoezi si vingine.
Unamaanisha?Wakuu hebu nitajieni Gym Dom yenye watoto wakali.