Wanawake wanaofanya kazi kwenye migahawa midogo midogo mazingira yao ya kazi siyo rafiki

Ni sahihi mwanamke kutoheshimika kwasababu anahitaji pesa?

  • Hapana

    Votes: 2 14.3%
  • Sio sahihi

    Votes: 12 85.7%

  • Total voters
    14
Wengi wao huja mjini wakitoka vijijini, wanaingia mijini na tabia zao njema na ushamba wa kijijini.

Sasa akikaa hata wiki tu anaanza kuiga tabia za wenzie/boss wake.
Ni wachache hubaki na tabia zao njema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…