Wanawake wanaojifanya wagumu kupatikana kimapenzi, wengi wao hawana mahusiano yenye afya

Wanawake wanaojifanya wagumu kupatikana kimapenzi, wengi wao hawana mahusiano yenye afya

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Kuna aina 3 unaweza kuwa-group wanawake, aina ya 3 ni wale ambao mtaani wana sifa ya kugawa papuchi karibia kwa kila mwanaume, aina ya 2 majority ya wanawake wako hapa utakuta Akiongozwa anamkubali huyu, anaMkataa yule.

Aina ya kwanza ndo wanawake ambao mtaani, wana sifa ya kukataa kila mwanaume anaewatongoza, wengi wao baadae sana huishia kuzalishwa na waume za watu, au kukaa umri mrefu bila kuolewa, wachache hubahatika kuolewa na wanaume wa maana.

Utakuta type hii ya mdada anamkataa mwanaume wa maana mpaka unajiuliza kama amekataa huyu, atamkubali yupi tena
 
Kuna aina 3 unaweza kuwa-group wanawake, aina ya 3 ni wale ambao mtaani wana sifa ya kugawa papuchi karibia kwa kila mwanaume, aina ya 2 majority ya wanawake wako hapa utakuta Akiongozwa anamkubali huyu, anaMkataa yule.

Aina ya kwanza ndo wanawake ambao mtaani, wana sifa ya kukataa kila mwanaume anaewatongoza, wengi wao baadae sana huishia kuzalishwa na waume za watu, au kukaa umri mrefu bila kuolewa, wachache hubahatika kuolewa na wanaume wa maana.

Utakuta type hii ya mdada anamkataa mwanaume wa maana mpaka unajiuliza kama amekataa huyu, atamkubali yupi tena
Ebu watag humu wachache pamoja na sifa zao
 
Chako ni chako jamani,
Usikionee haya,
Umepewa tena bure,
Na wewe kitoe bure.
 
Hio aina ya kwanza uoleka haraka kuliko wagumu. Ila wagumu wapo smart kichwani kuliko wagawaji. Mtu anaependa Sana kukojolewa lazima dish limekaa kushoto kidogo. Hata mwanaume mpasuliwa speaker hawezi kuwa smart kichwani huwa na tabia za kike (guity hatia)
 
Na inacost sana....mwaka Jana nimepoteza mwaka mzima nikimwamini asiyeaminika nikawakataa nisiokuwa na uhakika nao.Mapenz bhana[emoji57] But ndo maisha.
Duuh hivi uliyafanya nini mapenzi mbona yanakuchukia hivyo?
 
OQP 💃

Jamani hii siku ya mapumziko mnakula bata wapi? Hata hamsemi😉😄
 
Huyo mwanaume wa maana wewe ambae hujatongozwa unampimaje? Kila mtu na anachokitafuta. Kuna mwanaume anaonekana wa maana nje ila mawazo yake yeye ni kula bata mwanzo mwisho hana mpango wa kuoa anataka apige asepe. Kuna wengine wanataka watoto na wanaambizana kabisa mi natafuta mwanamke nizae kila mtu ale hamsini zake ntalea tu mwanangu, huyu nae anaenda kwa gia hiyo hiyo kama wengine.

Mapenzi ni hisia. Mti hulala ulipoangukia.
 
Na inacost sana....mwaka Jana nimepoteza mwaka mzima nikimwamini asiyeaminika nikawakataa nisiokuwa na uhakika nao.Mapenz bhana😏 But ndo maisha.
Teacher bado unaamini binadamu?ishi kimachale machale teacher
 
Back
Top Bottom