Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

'Beauty is in the eye of the beholder'
 
dah! mi ndo nawazimiaga kinyama. kwa kifupi wengi wao ndo wanaonikonganga nyoyo mimi, mbaya zaidi wengi wao ni wife material.
 
Najaribu tu kufikiria hivi, imagine Anne Semamba Makinda ndio angkeua Mrs. Wassira, hivi hao watoto wangefananaje?
 

Ni kweli kabisa ila umesahau tu Mara, Kigoma na Rukwa maana nao utafikiri ni watoto wa Power Mabula kwa kutisha usoni. Pia na mademu wa kichagga kwani kuna wengi wao tu wako hivyo (juu kukubwa chini kudogooooo ama hiyo miguu utadhani tooth pick).
 
Duh..mie hii topic nlikuwa naichukulia kama taboo...katika jamii..
Yap..nasema hivyo nikiamini kuwa munzishaji wa huu uzi aidha alikuwa na nadhiri ya ukejeli (kuchekesha au kiutafiti) yaani habari...
Kimtizamo wangu..hawa mabinti ni.kweli wanahizo sifa alizotaja huyo..na pia naamini kuwa wanazitambua kuwa wao wako hivyo..suala liko je nani mwenye makosa ya maumbile yao..maana wamekuwa wakajikuta wana hayo maumbo ya masamaki na makambale..
Kikubwa zaidi ambacho ningesema ni kwamba ni kweli dada zetu wana hizo shape..ok..basi wajihifadhi wasiziexpose out hizo figa zao wakasababisha vichekesho katika jamii..kingine basi wafanye intermarriage ili hao off spring wajao wazibe mapengo ya yale walo dhani ilikuwa niaibu kwao..
Ahsanten sana..
Wenu...😉
 
Kwani wew chuo umeshamaliza au? Manaake nataka nikupe real data hasa kuhusu hawa watoto inawezekana wew unaongelea generation ya 2005 wakat saiv generation ya watoto wa mikoa hii ni mpya, c unajua kila kizuri kinazaliwa na kufa.
 
Hujapata ukweli wanawake wa mikoa hiyo ni wazuri sana wa sura na wana mikia mirefu na minene na pia ni mafundi kweli
 

as long as he above approve them,they are beautiful
 
Last edited by a moderator:
==> True.... mademu wa mikoa hiyo....mmmhh...wagumuuuuu...weusi...wana midomo mikubwaaaaa... figure hakuna...HATA MKOROGO HAUWABADILI.....naturally NOT ATTRACTIVE.....from their genes.....purely bantu....
 
Duh! Majukwaa mengine yanahitaji moyo... Au ndiyo umbea wa digitali...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…