Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujapata ukweli wanawake wa mikoa hiyo ni wazuri sana wa sura na wana mikia mirefu na minene na pia ni mafundi kweli
Wakuwache umpumulie ODM wako...:A S kiss:Hata mimi ni wa huko huko, wish ungebahatika kuniona, sijisifii ila sisi si wabaya kama udhaniavyo, coppy snowhite, Asprin, Jiwe Linaloishi, snowhite, mwaJ, Fixed Point. Looooool, mutuwacheeeeee wa hiyo mikoa!
akikuona atataka uhamie kwake mke mweee!
hawatujui vizuri hawa!
mi nafkir ifike wakati kila member awe verified user na picha zetu!
hii habari hii ZEREU zinazidi humu!
nitaandamana kwa hili........akikuona atataka uhamie kwake mke mweee!
hawatujui vizuri hawa!
mi nafkir ifike wakati kila member awe verified user na picha zetu!
hii habari hii ZEREU zinazidi humu!
nitaandamana kwa hili........
naunga mkono hoja
He he he he, mie nikiweka yangu
Server inaungua
mkuu unatokea Njombe nini?
Ni kweli kabisa kwanza wamejazia mwili mzima weusi kama west african wana miguvu kuliko wanaume ukileta zako za kuleta unachezea kichapo. Ila wanajua kutafuta hela sana
nimeipenda mkuu statement yakoAcheni kunywa viroba...hata Tanga,arusha,Moro, nk wapo wanawake wabaya..sema tu hawana Akili za kufika chuo ndio maana hamuwaoni
Then wanakula kama wanamashine ndani ya miili yao.ukikuta mfupi akinenepa anakuwa kama kibanda na akiwa mrefu akinenepa anakuwa kama nyumba.kwao unene ni ki2 muhimu wananenepa hadi vichwa