Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

Wanawake wanaotoka Nyanda za Juu Kusini (Mbeya, Njombe & Iringa regions)

Yes! umefanya mistake moja mkuu Blue G.
1. Nimemaliza Chuo kama miaka saba hivi iliyopita.
Na nikwambie tu nilichoandika ni kweli kabisa.

Wakati naweka bandiko hili nilikuwa sijawahi kufika maeneo tajwa hapo juu, sasa nimeshafika zaidi ya mara 3. Kama ningekuwa na uwezo huu uzi usingekuwa TETESI tena kwani kuna ukweli kwenye hili.

So ni kweli pia kwamba nyie wenzetu wa pande hizo hampitwi na sketi,ni bora nikupe pesa zangu utamfikisha na sio mwanamke wangu?na ndio maana hata wewe kwa thread hii umelithibitisha hilo kiasi kwamba ukashindwa kukaa hiv hiv tu mpaka ufanye utafiti kama huo mkuu kiwatengu? Meaning maisha yako asilimia kubwa ili yawe na furaha au uone yako complete lazima wanawake wakuhusu sana si ndio?

Niambie wewe ni handsome?kuna mtu hata mmoja ukiyewahi kumuumba?ukoo wenu wooote ni wazuri?mama yako dada zako mashangazi mama wadogo wadogo zako wa kike mama zako wakubwa wooooteee ni wazuri?? Naomba unijibu maswali haya honestly kabisa
 
Last edited by a moderator:
duh!
We Lara...Mpaka Kyela Unadetails Nako?
we Tishaa!

Mi huyu mtu ananishangaza kuliko navoshangaaa kawaida yani anajua mambo meeeeeeengi mnooooooooo! Yakihuni anajua yakishua anajua ya mtaani sasa duuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkofwike pantu ulwa ibhwe lya mmisi...!!

Muli bhanganjifu ulwa imbwa iji jikana kumyabho...!!

Muli bhalangani ulwa ngwitwa...!!


Tafakari...!!
 
masai-woman-portrait-close-up-africa-afkj7t0513-out.jpg


3300594155_a518f8ff95.jpg


Maasai_Woman.jpg


hahahahaha hahaha tehtehteh
 
Mi sina uhakika, ni maneno niliyoyasikia kwa watu nilivyokuwa chuoni! Eti wanawake (mademu) wengi waliopo vyuoni wanaotoka mikoa niliyotaja hapo juu (Mbeya, Njombe and Iringa) ndiyo wabaya kwa sura na figure (Body structure) mbaya kuliko wa mikoa mingine! Je, hili lina ukweli?


To somme extent yes....yaani asilimia kubwa ya mademu wa huko ni majeruhi, ukiona wa afadhali basi mmoja kati ya wazazi wake ni mtu wa mkoa mwingine.
 
To somme extent yes....yaani asilimia kubwa ya mademu wa huko ni majeruhi, ukiona wa afadhali basi mmoja kati ya wazazi wake ni mtu wa mkoa mwingine.

Mkuu mbona wa kwangu Yupo sawa kuanzia sura, umbo, mwendo na huko kitandani ndiko anajua sana.. Lakini asilimia 89 ni kweli wanasura na maumbo kama makabati
 
Mkuu mbona wa kwangu Yupo sawa kuanzia sura, umbo, mwendo na huko kitandani ndiko anajua sana.. Lakini asilimia 89 ni kweli wanasura na maumbo kama makabati


Huyo wa kwako, wazazi wake wote wanatoka Mbeya?
 
So ni kweli pia kwamba nyie wenzetu wa pande hizo hampitwi na sketi,ni bora nikupe pesa zangu utamfikisha na sio mwanamke wangu?
Hapa nadhani unawazungumzia Wangoni kwa kiasi kikubwa, mimi sio mngoni! mi ni Mmakonde wa Tandahimba Likolombe huko...Hatuna utamaduni huo.
na ndio maana hata wewe kwa thread hii umelithibitisha hilo kiasi kwamba ukashindwa kukaa hiv hiv tu mpaka ufanye utafiti kama huo mkuu kiwatengu?
Siku fika Iringa, Mbeya na Njombe kwa ajili ya kulifanyia hili utafiti nilifika kwa mambo mengine tu, ila katika kumbukumbu yangu hili likaja. Kisura na Kimaumbo ni kweli, hawako vizuri sana.

Meaning maisha yako asilimia kubwa ili yawe na furaha au uone yako complete lazima wanawake wakuhusu sana si ndio?
Wanawake wanapart kubwa katika maisha ya Mwanaume yoyote yule. To some extent maisha bila mwanamke hayajakamilika.

Niambie wewe ni handsome?kuna mtu hata mmoja ukiyewahi kumuumba?ukoo wenu wooote ni wazuri?mama yako dada zako mashangazi mama wadogo wadogo zako wa kike mama zako wakubwa wooooteee ni wazuri?? Naomba unijibu maswali haya honestly kabisa
Mkuu mbona kama umepaniki flani hivi? kwani kuwa mbaya ni dhambi? Mbona hao wabaya bado wameolewa na wanawatoto wao. What wrong mi kuandika kuhusu wadada wa nyanda za juu kusini? Kwa hiyo ningepaswa kuandika kama kwetu hamna mbaya hata mmoja? Sura na mwili ni tofauti kabisa na tabia, hii ndiyo inagusa maisha zaidi....
 
Last edited by a moderator:
Na tabia zao sasa kwa wapenzi wao kati ya wanawake kumi utakuta wenye utulivu ni wawili tu,na ndo mana kuna misemo huwa wanawake wanaitwa Maharagwe ya mbeya,wakimaanisha ni dk chache tu unampata hupati shida

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Zero kabisa wewe ushawahi pika maharage yanayolimwa Mbeya na sehemu nyingine utaelewa maana yake ila sio hiyo yako.
 
Back
Top Bottom