Wanawake wanapenda kutangaza shida

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2011
Posts
563
Reaction score
98
Ilikuwa ni juzi tu mida ya asubuhi wakati nikiwa niko bize na kazi za hapa na pale huku nikiwa nimefungulia station ya radio ilikuwa inazungumzia mada inayohoji ivi:
Je ni sawa kwa wanawake kutangaza shida walizonazo kwa wanaume ambao wametokea kuwa nao ndani ya muda mfupi tu.
Kipindi kilikuwa kinaendeshwa na wanawake, hivyo kwasababu ya kujiridhisha walikubaliana kuwa ni sawa. Hivyo nami nimeonelea bora niilete hapa jamvini ili nasi tuingaliye kwa upande wetu.
 
Shida za aina gani?Wanaeleza kwa madhumuni yapi?Hao wanaume wanakua na mahusiano gani nao??Binafsi labda siwezi kwasababu napenda kufanya mambo yangu mwenyewe ila sioni ubaya wowote kumwambia mtu aliyekua karibu nae (hata kama ni kwa muda mfupi) matatizo aliyo nayo!Kama huyo mwanaume yupo kumsikiliza tatizo liko wapi?Au ndio wanaolalamika?Kama ndio basi wasiwajengee hao wanawake mazingira ya kuwaeleza matatizo yao kama hawapo tayari kuyasikiliza!
 
Na siku hizi wanaume hawapendi majukumu ya kumlea mwanamke ile mbaya, ukianza kuleta vishida vyako utaachwa kwenye mataa. binafsi sioni shida kufanya hivyo ila msichana awe na shida kubwa sio oooh perfume yangu imeisha
 
Inategemea na level na aina ya uhusiano walionao...sipendi kuomba wala ku share shida zangu.....ila pale inaponibidi nitamwambia mtu mwanaume ninayemfahamu muda mrefu na tunayeelewana......sidhani kama wanawake wanapenda kutangaza shida bali kuzungumzia shida zao kwa lengo la kusaidiwa.....
 
sku hz ukipata mpenz ujue ww ni buzi, anakutumia vizuri kabla ya ww kumtumia ndo mana wanajitetea kwamba hamna shida kutangaza shida..me don like this love thing, wizi mtupu
 
Mada haieleweki. Kutangaza shida au kueleza shida? Kama ni kutangaza shida ina maana kushare na watu wa nje mataizo ulonayo kuhusu partner wako. To me that depends on your personality. Some people feel relieved when they share their sad stories with anybody. For me I rarely share my marital probems with my friends. The only person that I have ever consulted is my young sister and I have three elder sisters whom I can't tell everthing. My young sister is my best friend and she always give me the best advice ever! Yaani hata kama nina hasira anajua jinsi ya kunishauri na baada ya muda na conclude the advice was superb. Otherwise siamini marafiki! Rafiki ukimwambia kitu kinageuka matangazo ya kifo. Anasubili utoe mguu tu atafute wa kumsimulia!
 
Umeeleza vizuri mkuu nafikiri hii ndio yangu ya mwisho kwa leo Goodnight
 
Mada iko ivi: Unatokea kumpenda mwanamke, unamuambia, mnakuwa wapenzi, ndani ya muda mfupi tu anaanza kukuelezea shida tofauti tofauti. Hakuna ubaya kusaidiana. Lakini je kuna uhalali wowote kuufanya uhusiano kuwa ndiyo tiketi ya kuelezea shida zako bila ya kujali muda wa uhusiano huo?
Kwa upande wangu mimi naona uhusiano huu utanipunguzia imani kwa kuhisi kuwa nimekubali mapenzi ili kuwa kama kitega uchumi chake.
 
Hii issue sio siasa za CCM na CDM. Shida ni sehemu ya maisha ya mwanadamu na sio miti. Wanyama nao wana zao wanapokumbana na majangili.
Haijalishi mwanamke au mwanaume wote hutegemeana na nafasi ya kila mmoja na uzito wa mahusiano yenu. Tatizo huja pale mmoja anapotaka haja zake zitimie kwanguvu na wakati anaotaka yeye bila kujali kuna jambo la kuhitaji muda kutatua matatizo na kunakukwama.
Hivyo suala la kumueleza mtu shida zako ni lakawaida na husaidia mtu kumuelewa mwenzie na kumuhandle vizuri lakini sio shida za lipshine, perfume, hereni e.t.c. Na kwa mtu anayeelewa maisha, anayejali, na kuamini hatoona kero kutoa msaada japo wakimawazo.
"KUKIMBIA SIO SULUHISHO LA TATIZO"
 
Na wewe unaguna sana mwisho utapata kansa ya koo! Ila najua wewe unasikiliza sana shida haijalishi kama perfumes au nini

mimi kama mwanamke ni mzuri huwa
naombea awe na shida nitakayoweza kumsaidia...

halafu na mimi naeleza shida yangu...
ili tusaidiane lol
 
mimi kama mwanamke ni mzuri huwa
naombea awe na shida nitakayoweza kumsaidia...

halafu na mimi naeleza shida yangu...
ili tusaidiane lol
Lol njoo kwangu natafuta wa aina hii nina shida kibao natafuta msaada
 

hapo imeeleweka sasa, ile dizaini mama mgonjwa nahitajika cjui shs ngapi za hosp, cjui nn na nn hapo mna wiki mbili tu za mahusiano lakini umesushiwa matatizo debe, inabidi tu mtu ujiulize kama ckutokea ngemweleza nani haya matatizo au angeyatatua vipi?
 
Na wanaume je???

Wanaume wasiyopenda kuelezewa elezewa shida huzikwepa kwa kutanguliza za kwao japo za uongo. Utasikia "gari yangu imeharibika na inahitaji kama laki na ishirini ivi (120,000) ndiyo matengenezo yakamilike" lakini ila sidhani kama yuko mwanaume ambaye mwanzo wa mahusiano anaweza kukueleza shida zake kwa kutaka zitatuliwe na mwenza wake kwa wakati huo labda iwe ni kumtaarifu au kutaka ushauri tu.
 
Kutangaza shida.!
Shida zangu bora nife nazo. Lol! Watu wengine kuwaambia shida zako ni kujiabisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…