Wanawake wanapenda ma handsome

Wanawake wanapenda ma handsome

Mi nashangaa wanaume kuchangia Uzi, wakati ilitakiwa wadada ndo waseme sasa,halafu tuconclude,kwa comment chache nilizozipitia hadi saizi, sura ngum wameibuka kidedea,ila cjajua kama unasura ngum na hela huna inakuaje
 
I'm late😓,Bango la 2019!!. Hakuna anaejua wanawake wanapenda wanaume wa aina yani,hata wao wenyewe hawajui🤗.
 
Uhandsome ni pesa ..japo kuna baadhi ya wadada huwa wananiambia ww kaka hendthamu


Jawabu wanalopata ni kwamba uhendthamu ni pesa
 
Embu tuacheni unafki, tu-assume mwanamke ana hela zake, anaweza kufanya independent choice alafu kuna wavulana wawili wa mkoani mwenye sura ngumu na wa Dar ambao ni mahandsome siku zote, nafikiri unajua wa Dar sikuzote anatoka kidedea. Ukiwa na sura ngumu ata kama una hela ndani ya moyo wa huyo mwanamke wako anampenda mwanaume handsome somewhere
Hahaha
 
Hakuna mwanamke anapenda mwanaume ambaye sio handsome.Kama mnakumbuka mke wa Farao aliambiwa na wanawake wengine anawezaje kumwacha Yusufu hivi hivi bila kumlazimisha wafanye mapenzi.

Just imagine mdada anajikata mpaka na kisu akiwa anamwangalia yusufu kwa uzuri aaliokuwa nao yusufu. Akamlazimisha yusufu kamkimbia dakika ya mwisho kabisa akaamua kumgeuzia kibao kwamba yusufu alitaka kumbaka.

Kinachoshangaza mwanamke na yeye hachelewi kukupoteza hata Kama akikupenda sana hilo sote tulijue na ndo maana tumeagizwa tukae nao kwa akili.lakini pia mkae mkijua hawezi kukupenda Kama wewe sio handsome labda uwe na pesa.

Huu ndo ukweli mchungu wanaume wenye sura ngumu sana mnisamehe baba zangu. Nasikia wengine mnasema kuwa wadada wanavutiwa na wanaume wenye sura mbaya za kikauzu.

Huku Ni kujitia tu moyo, tumeona mfano wa mke wa Farao alikuwa hampendi mumewe anamuona kama mzee mzee.

Hizi simulizi za kwenye vitabu vya dini Ni za kweli kabisa zimetokea karne nyingi zamani lakini hata Sasa mambo Ni Yale Yale huwa yanajirudia tu.
Nyie ndiyo aina ya watoto wa kiume mliolelewa na single mother!
 
Back
Top Bottom