iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 440
- 1,086
Kama unataka kuheshimiwa na bebez wa mtaani pote unapoishi just be busy with ur business , usiwe na muda wa kumtafta mtu asiekua na faida yoyote kwako
Make sure unaponyanyua simu kumtafuta mtu iwe ni kwaajili ya biashara au kazi, na si vinginevyo, utaheshimika na kila mtu,
HII CODE NI KWAAJIRI YA WANAUME GENTLEMEN TU✌️
Make sure unaponyanyua simu kumtafuta mtu iwe ni kwaajili ya biashara au kazi, na si vinginevyo, utaheshimika na kila mtu,
HII CODE NI KWAAJIRI YA WANAUME GENTLEMEN TU✌️