Wanawake wanapenda mwanaume ambae yuko bize

Wanawake wanapenda mwanaume ambae yuko bize

Kama unataka kuheshimiwa na bebez wa mtaani pote unapoishi just be busy with ur business , usiwe na muda wa kumtafta mtu asiekua na faida yoyote kwako

Make sure unaponyanyua simu kumtafuta mtu iwe ni kwaajili ya biashara au kazi, na si vinginevyo, utaheshimika na kila mtu,

HII CODE NI KWAAJIRI YA WANAUME GENTLEMEN TU✌️
Vipi hakuna kutongoza
 
Ona huyu meee bado anafanya vitu kwa ajili ya ku-impress watu tena wanawake,silikiliza wewe mee siku hizi hao viumbe hawaangalii how busy you are wanaangalia end product ya u-busy wako which is money, isije ikawa unakuwa busy for nothing, kutwa kucha kuzurula huko unavuta vumbi mitaani halafu unarudi ghetto huna kitu.
Sema wewee!!
 
Kwa
Ona huyu meee bado anafanya vitu kwa ajili ya ku-impress watu tena wanawake,silikiliza wewe mee siku hizi hao viumbe hawaangalii how busy you are wanaangalia end product ya u-busy wako which is money, isije ikawa unakuwa busy for nothing, kutwa kucha kuzurula huko unavuta vumbi mitaani halafu unarudi ghetto huna kitu.
Kwa niaba yake naomba unisamehe Mimi ,naomba msamaha Kaka yameisha
 
Ona huyu meee bado anafanya vitu kwa ajili ya ku-impress watu tena wanawake,silikiliza wewe mee siku hizi hao viumbe hawaangalii how busy you are wanaangalia end product ya u-busy wako which is money, isije ikawa unakuwa busy for nothing, kutwa kucha kuzurula huko unavuta vumbi mitaani halafu unarudi ghetto huna kitu.
Yuko busy anapiga punyeto kwa papa i liloiva
 
Kama unataka kuheshimiwa na bebez wa mtaani pote unapoishi just be busy with ur business , usiwe na muda wa kumtafta mtu asiekua na faida yoyote kwako

Make sure unaponyanyua simu kumtafuta mtu iwe ni kwaajili ya biashara au kazi, na si vinginevyo, utaheshimika na kila mtu,

HII CODE NI KWAAJIRI YA WANAUME GENTLEMEN TU✌️
Ili wachepuke kama mke wa fokta mwaka na wengije ambao tuna jua.
 
Kuwa Bize kwa sababu ya kutengeneza mambo yako yaende, sio eti wanawake wakuheshimu, tena ungejua wanawake hawapendi wanaume walio Bize Bize usingesema
 
Ni kweli mkuu.

Endelea kuwa busy huku majobless tukiendelea kukusaidia kumpa kampani shem wetu wa ukweli, maana wewe ni mwanetu wa kufa na kuzikana.

Hadi huo u-busy wako uishe tutakuwa tushatoa na copy, ila kwakuwa utakuwa ushazichuma noti za kutosha malezi hayatokuwa issue.

Sisi ni wana na maisha ni kusaidizana majukumu.
 
Back
Top Bottom