Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Yani miongozo imekuwa mingi siku izi nyie motivation speakers uchwaraa.
Kila mtu anakuja na idea zake,eti ili mwanamke hakupende?
Kama upendwi ni upendwi tu mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani miongozo imekuwa mingi siku izi nyie motivation speakers uchwaraa.
Kila mtu anakuja na idea zake,eti ili mwanamke hakupende?
Kama upendwi ni upendwi tu mkuu.
Vipi hakuna kutongozaKama unataka kuheshimiwa na bebez wa mtaani pote unapoishi just be busy with ur business , usiwe na muda wa kumtafta mtu asiekua na faida yoyote kwako
Make sure unaponyanyua simu kumtafuta mtu iwe ni kwaajili ya biashara au kazi, na si vinginevyo, utaheshimika na kila mtu,
HII CODE NI KWAAJIRI YA WANAUME GENTLEMEN TU✌️
Ndio mboni tunatoboa kila siku au wewe bado hujatoboka mkuu? Nije nikutoboeMtatoboa kweli?
Sema wewee!!Ona huyu meee bado anafanya vitu kwa ajili ya ku-impress watu tena wanawake,silikiliza wewe mee siku hizi hao viumbe hawaangalii how busy you are wanaangalia end product ya u-busy wako which is money, isije ikawa unakuwa busy for nothing, kutwa kucha kuzurula huko unavuta vumbi mitaani halafu unarudi ghetto huna kitu.
Kwa niaba yake naomba unisamehe Mimi ,naomba msamaha Kaka yameishaOna huyu meee bado anafanya vitu kwa ajili ya ku-impress watu tena wanawake,silikiliza wewe mee siku hizi hao viumbe hawaangalii how busy you are wanaangalia end product ya u-busy wako which is money, isije ikawa unakuwa busy for nothing, kutwa kucha kuzurula huko unavuta vumbi mitaani halafu unarudi ghetto huna kitu.
Yuko busy anapiga punyeto kwa papa i liloivaOna huyu meee bado anafanya vitu kwa ajili ya ku-impress watu tena wanawake,silikiliza wewe mee siku hizi hao viumbe hawaangalii how busy you are wanaangalia end product ya u-busy wako which is money, isije ikawa unakuwa busy for nothing, kutwa kucha kuzurula huko unavuta vumbi mitaani halafu unarudi ghetto huna kitu.
Ili wachepuke kama mke wa fokta mwaka na wengije ambao tuna jua.Kama unataka kuheshimiwa na bebez wa mtaani pote unapoishi just be busy with ur business , usiwe na muda wa kumtafta mtu asiekua na faida yoyote kwako
Make sure unaponyanyua simu kumtafuta mtu iwe ni kwaajili ya biashara au kazi, na si vinginevyo, utaheshimika na kila mtu,
HII CODE NI KWAAJIRI YA WANAUME GENTLEMEN TU✌️
Maonyesho gani wakat napenda tujifungie ndan. Uliza kwanza mkuuWewe ni wale wanapenda maonyesho
Hahahaha wanawake hawajui wanataka nn !
NakaziaUmejuaje au na we uliwahi kuwa mwanamke
Btw ushauri umekaa poa tatizo umejuaje!
haha mkuu unatafutwa na Rais Intelligent businessman tokea janaNakazia
Njoo kwangu I have a time😊Usinisemee mm sipend aisee. I need quality time with my man. Sio busy busy all the time nah