Chamsingi unafanya majukumu yako kama mume,. Haya mengine ni ya ziada tu wala sio lazima kiasi kwamba usipofanya kuna kitu kitatokeaπ«‘Nadhani ndo kitu nilichonyimwa. Nilishamwambia wife kuwa akiona sijamkosoa, basi ajue amependeza. Hili pia linajumuisha kutamka maneno kama honey, sijui my...... I'm simply the olden type na sijui kama kuna dawa ya kusaidia kubadilika.
sasa jukwaa la mapenzi na mahusiano watajadili nini unadhani?Kwa nini mada nyingi humu ni za kuwawaza wanawake tu...tunaumia kutafuta hela,tunawaza tunakufa lini?tunawaza mambo chungu nzima ....wanawake tuwapumzishe...sasa niwaze kumsifia halafu yeye aniwazie mimi nini?kunichuna au?
ngoja asifiwe na bodabodaNadhani ndo kitu nilichonyimwa. Nilishamwambia wife kuwa akiona sijamkosoa, basi ajue amependeza. Hili pia linajumuisha kutamka maneno kama honey, sijui my...... I'm simply the olden type na sijui kama kuna dawa ya kusaidia kubadilika.
Ngoja nikusifieSipendi kusifiwa...naonaga kama sifa=kuchorana=kujazana ujinga
Nilisahau kumbe mimi wa kiume
Ishia hapo hapo mkuu πNgoja nikusifie
Wakifahamu una hips zenye gelasin kuna tatizo ?π€£Ishia hapo hapo mkuu π
Acha kunitangaza basi πWakifahamu una hips zenye gelasin kuna tatizo ?π€£
Ni kwasababu wengi hupuuzia tu, lakin kiuhalisia hata Miiba ni maua.. kuwa vile ni adaptation features tu.lazima tusifiwe sisi ni maua jamani
Ujue wanawake mngekua wepesi kushare abc kuwahusu, mahusiano yangekua mepesi sana.Wamekusikia
Maudhui yanaendana na jukwaaKwa nini mada nyingi humu ni za kuwawaza wanawake tu...tunaumia kutafuta hela,tunawaza tunakufa lini?tunawaza mambo chungu nzima ....wanawake tuwapumzishe...sasa niwaze kumsifia halafu yeye aniwazie mimi nini?kunichuna au?
Na hawatoishia kumsifia tu.sasa jukwaa la mapenzi na mahusiano watajadili nini unadhani?