Wanawake wanapenda sana magari kuliko nyumba ni ulimbukeni au wako sahihi?

Wanawake wanapenda sana magari kuliko nyumba ni ulimbukeni au wako sahihi?

Hakuna baba mwenye gari kuna baba mwenye nyumba
Maisha ni nyumba dada angu
Vitu vyenye thamani ni nyumba na kiwanja zunguka kote
Leo uniaminishe gari ni bora kuliko nyumba nimelogwa
Nenda taasisi yoyote ya kifedha mdhamana wao ni nyumba au kiwanja.
Mi naona vyote ni muhimu
Na kwa kua ni rahisi kununua gari kuliko kujenga bora uanze nalo kwanza
 
Gari lina raha yake asikwambie mtu bwana. Halafu wakati mwingine Gari ni nyumba pia.
 
Kwa mwanamke yupo radhi aolewe na mtu mwenye gari aliyepanga kuliko asiye na gari mwenye nyumba yake kabisa.

Mwenye gari anaeleweka sana na haraka sana kuliko mwenye nyumba.

Sijui gari mtu anaweza kulala humo?!

Ni ulimbukeni au wako sahihi?
Fikiria ukiwa mjini mtu anaweza kukuthamini ati una nyumba? Kwani unatembea nayo? Lakini ukiwa na Gari atakukuta umo! Usisahau hata wewe unapomuona siku ya kwanza unatamani uzuri wake aliokuwa nao wakati huo naye anatathimini utajiri wako wa wakati huo
 
Inategemea Ntu na Ntu mkuu.

Pia niseme wanayashobokea sababu magari ni kitu ambacho kinaonekana tofauti na nyumba ambayo ni mpaka uanze kujielezea weee.

Nadhani mleta uzi pia na wewe unafahamu kimjini mjini gari lilivyo na unafuu wake na hiyo pia ni sababu ya watu kuyashobokea sababu anajua akipata bwana mwenye gari basi ana unafuu katika mambo mengi iwe kwenda kazini, kuumwa kwenda matembezi na mambo mengine mengi ambayo gari inarahisisha tofauti na asiye na gari.
 
Fikiria ukiwa mjini mtu anaweza kukuthamini ati una nyumba? Kwani unatembea nayo? Lakini ukiwa na Gari atakukuta umo! Usisahau hata wewe unapomuona siku ya kwanza unatamani uzuri wake aliokuwa nao wakati huo naye anatathimini utajiri wako wa wakati huo
Hahaaaaa. Hii ndio sababu ya mwenye nyumba asiwe na thamani sababu hakuna anayetembea na nyumba.
 
Kwa mwanamke yupo radhi aolewe na mtu mwenye gari aliyepanga kuliko asiye na gari mwenye nyumba yake kabisa.

Mwenye gari anaeleweka sana na haraka sana kuliko mwenye nyumba.

Sijui gari mtu anaweza kulala humo?!

Ni ulimbukeni au wako sahihi?

NI MWANAMKE WAKO NDUGU, WAKWETU HAWAKO HIVYO
 
Hajawahi kulala nje anaonaje umuhimu wa nyumba lakini katembeza sana kwato zake hata ungekuwa ni wewe tusiwaonee sana Dada zetu
 
Hahaaaaa. Hii ndio sababu ya mwenye nyumba asiwe na thamani sababu hakuna anayetembea na nyumba.
Umeamkajea Dada yangu.

Sorry mleta uzi kwa kwenda nje na mada ujumbe nimeupata vizuri
 
Hahaaaaa. Hii ndio sababu ya mwenye nyumba asiwe na thamani sababu hakuna anayetembea na nyumba.
Marahabaaaaa huo ndio ukweli! Usisahau matamanio ya me ni tofauti na Ke. Sisi tunadhani huyu atakuwa na gegedo safi nyie mnaangalia kama anaweza kukusitiri
 
Hapana. Kujenga ni rahisi kuliko kununua gari kwa Tanzania. Ukitaka gari ya 20m inabidi uwe na 20m cash. Lakini unaweza kujenga nyumba ya 20m huku ukiwa hujawahi kushika hata 2m ya pamoja.
Naked truth...
 
Back
Top Bottom