Wanawake wanatusifia wanaume wa Mbeya tuna miili ya kiume na macho yenye mvuto.

Wiki moja tu humu jf umeanza kujiletea misifa isiyo na maana, peleka fb kwa madogo wenzako.
Hakuna lolote uliloandika, huku jf huwa tunatumia vyanzo (source) na hivyo research yako imekaaje.
 
Yaani wewe katika sifa unaona hiyo ni sifa ya maana. Mimi nawasifu wakinga kwa kuwa mahiri kwenye nyanja za biashara kiasi cha kuweza kuwaondoa wafanyabiashara wenye asili ya asia kufunga virago maeneo yote ya nyanda za juu kusini na hivi sasa wameshambulia kariakoo na kuifanya kuwa chini ya himaya yao. Hizi ndizo sifa zapasazo tolewa
 


Ulimwambia lakini kwamba wanaume wa mbeya huwa hamtahiriwi na kwamba hamna ujuzi wowote kunako 6X6 zaidi ya mabavu?
 
Mbeya pia kumbe kuna wanaume!

Mijamaa haitahiriwi. Ukiikuta mi mtu mizima na mikono ya sweta. Halafu inadhani mapenzi ni amri na mabavu hadi kitandani. Nilisuruhisha kesi nyingi sana za hawa jamaa wakati nikifanya kazi Mbeya.
 
Huyu lazima ni mwanaume wa Dar hata kama ni Mnyaki
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mijamaa haitahiriwi. Ukiikuta mi mtu mizima na mikono ya sweta. Halafu inadhani mapenzi ni amri na mabavu hadi kitandani. Nilisuruhisha kesi nyingi sana za hawa jamaa wakati nikifanya kazi Mbeya.
True unachokiongea ni kweli,wanaume wetu wana mfumo dume,halafu tabia ya kujisifu km huyo wanayo kwa asilimia mia ,ingawa si wote,hata dharau wanazo sana,bahati nzuri mimi pande zote mimini mnyaki,lakini nilivoona baba zangu wakubwa kwa wadogo,wajomba,ni wachache wanaishi vizuri ktk ndoa zao,ni wale wenye hofu ya Mungu tu,wengine ni mabavu sana kwa kwenda mbele,namshukuru Mungu niiapa kutokuolewa na mtu wa kabila langu,nashukuru amenitimizia haja ya moyo wangu.
 
macho yanayovutia?

mbona kama una dalili za unyosonyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…