swala la vitambi asee weka pembeni kwanzaWanaume wa MBEYA Mnapenda sana sifa hiyo ndo sifa namba moja, kuongea ongea sana, mengine hayana kichwa wala miguu, hata mkienda sehem ikifika time ya lishe hiyo chakula atakachoagiza, Ugali, bamia, samaki wa mchuzi, samaki mkavu, yai la kuchemsha yani hapo mmetoka tu for dinner or something, kwanza hiyo dinner lazima akupeleke mazingira ambayo atapata hiyo milo mara chips mayai (zege) na bia ndo mana wengi wana vitambi visivyoeleweka.
Sio yote wanatokea wilaya mbili tuu..rungwe na.kyelaHivi kumbe Mbeya yote ni ya Wanyakyusa?
Anakuwa anafeli sasa[emoji23] [emoji23]Mkuu kashindwa kusoma alama za nyakati
Naitwa Hassan Mwakasakafyuka[emoji12]Nenda uendako hutakuja kumkuta mnyakyusa ambaye ni mwislamu cjui hii kitu imekaeje.
HahahaMkuu vipi mkwanja unao!? usikute wanakusifu sababu wameona mkwanja. Mi mbona wa huko lkn sijawahi sifiwa!??
Wakristo no wachawi???kwa sababu ni wachawi
Kaa naloli? Mwe!ahahaaa kuzimu nasikia ipo mbeya
Umegundua?Mkuu vipi mkwanja unao!? usikute wanakusifu sababu wameona mkwanja. Mi mbona wa huko lkn sijawahi sifiwa!??