Tatizo hili na mengine ya kiroho huanza pale just before mimba haijatungwa...
Ni muhimu sana wazazi wakawa wapo vizuri kiroho na kumuomba Mwenyezi Mungu just before tendo la ndoa kuanza ili roho zilizo laaniwa zisipate nafasi ya kujipenyeza. Hapa kuna siri kubwa sana.
Sehemu nyingine muhimu ni pale mzazi anapojifungua...
Ni muhimu sana kumkinga kiumbe aliyezaliwa dhidi ya roho zilizo laaniwa.
Haya mambo yapo, fuatilieni.
Mf.
Fuatilieni binti ambaye pamoja na kubaleghe lakini haoti nywele sehemu za siri, hususani kinenani; nini hutokea 'akilala' na mwanaume.