Wanawake: Wanaume kutoka Kanda ya Ziwa ndio wanaume wanaojua kuhonga ukanda wa Afrika Mashariki na Kati

Wanawake: Wanaume kutoka Kanda ya Ziwa ndio wanaume wanaojua kuhonga ukanda wa Afrika Mashariki na Kati

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Katika utafiti ambao hivi karibuni utachapishwa mitandaoni kutoka taasisi moja ya utafiti unaonyesha kua wanawake wengi wanasema kua wanaume kutoka kanda ya ziwa ndio wanaume wanaojua kuhonga kuliko wanaume wote Ukanda wa Afrika Mashariki na kati.

Wanawake walipoulzwa ni makabila gani hasa kutoka kanda ya ziwa wanaohonga kura ikaangukia wasukuma na wakurya. Wahaya wakasemekana ni matapeli wa mapenzi.

Wakurywa wakapigiwa kura jua ni wanaume wakorofi na malaya ila wanaojua kuhonga. Mwnaamke mmoja alifikia hatua ya kusema ukipata danga la kikurya likakuelewa linaweza hata kukujengea ghorofa. Hawana shida ya kuhonga ila ukizingua kipigo kiko nje nje kama uchi wa mbuzi.

Wasukuma wao walishinda category ya overall, upole na uhongaji. Dada mmoja alisema ni rahisi sana kumfanya mwanaume wa kisukuma msukule wako wa mapenzi. Hawana wivu na pia hata ukizingua hawana shida kukusamehe na akaendelea kutoa matumizi.

Wanaume wa kanda ya Pwani wameshinda category ya wanaume wapole na wanyenyekevu kwa wake zao. Wanawake wengi wanasema mwanaume wa pwani hata ukimgombeza yeye ndie anakuomba umsamehe ila ni wavivu wanaopenda kulelewa.

Wanaume wa kanda ya kaskazini wameshika nafasi ya mwisho ya wanaume wasiojua mapenzi na bahili, wasiojali wanawake kihisia.

Wanaume wa kanda ya kati na kusini waneonekana kua ni wanaume wasioeleweka, wenye misongo ya mawazo na ambao hawatabiriki ila waaminifu.

Utafiti huu utachapishwa hivi karibuni na taasisi iliyofanya utafiti.

Je, wewe unakubaliana na haya maoni ya kina mama?
 
Wallah nimewai Kuhonga mshahara woteeeeeee mapenzi haya nikikukumbuka najicheka, pia ata wanawake wake wanajua kuhonga pia.
 
Ni wakanda ya ziwa ila sijawahi kuhonga....Halafu wahaya mbona mmetuonea
 
Hahaaa na wanawake kanda ipi wanaopenda kuhongwa!?
 
Msukuma mimi hata hujakosea mkuu na huo utafiti wako

Kwa kweli najua kuhonga,kupenda,kujali na kujitoa pia kwa mwanamke/wanawake

Hasa mwanamke abarikiwe kuwa na ugonjwa/magonjwa yangu nyemelezi nitahonga kuliko tukuka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gohonga gete,ndoho shi!!gofunya hela na golya nigo!!hakuna mchezo huku huu utafit ni batil na chochez
 
Naunga mkono huu utafiti

Wakurya usijiroge labda wa mjini hawa ndo hawajui kupiga...japo akikupenda anahongaaa ila mambo ya ngumi nani anataka

kuhusu Wasukuma,wanahonga viwango vya lamii,sio vya nchi hii kabisaa ni nchii jirani
Wenye hela na matunzo na mapenzii ni wasukuma jmn..na wana bidii na kazi sana pia
Wasukuma pia wapole sn kwa ujumla hawana kero


Bahili mafiaaa ni Wachaga jmn daah lazma mviziane sana ukiwa nae lazma ukae chonjo na we uwe mchaga tu ili wote muwe mnaijua pesa sn ,lazma umuwahi ukizubaa umeliwaaa... ukijifanya mama Theresa imekula kwako..lazma ukabe sanaa na ujitie mkavu sana mida ya kutoa pesa
na mchaga kukupa hela ni mbinde kila saa anawaza tofali ajenge hiki mara kile mara aanzishe hiki mara kile wooooiii...uzuri wao maendeleo wala humuulizi atafanya yote mwenyewee kila kitu kizuri na connection zote anajua
 
sisi wasukuma mwanamke akiwa kajazia halafu mweupe ndio ugonjwa wetu, hatuweki pesa benki
 
Bro natokea Kanda ya ziwa lakini sipendi na sijui kuhonga
 
Katika utafiti ambao hivi karibuni utachapishwa mitandaoni kutoka taasisi moja ya utafiti unaonyesha kua wanawake wengi wanasema kua wanaume kutoka kanda ya ziwa ndio wanaume wanaojua kuhonga kuliko wanaume wote Ukanda wa Afrika Mashariki na kati.

Wanawake walipoulzwa ni makabila gani hasa kutoka kanda ya ziwa wanaohonga kura ikaangukia wasukuma na wakurya. Wahaya wakasemekana ni matapeli wa mapenzi.

Wakurywa wakapigiwa kura jua ni wanaume wakorofi na malaya ila wanaojua kuhonga. Mwnaamke mmoja alifikia hatua ya kusema ukipata danga la kikurya likakuelewa linaweza hata kukujengea ghorofa. Hawana shida ya kuhonga ila ukizingua kipigo kiko nje nje kama uchi wa mbuzi.

Wasukuma wao walishinda category ya overall, upole na uhongaji. Dada mmoja alisema ni rahisi sana kumfanya mwanaume wa kisukuma msukule wako wa mapenzi. Hawana wivu na pia hata ukizingua hawana shida kukusamehe na akaendelea kutoa matumizi.

Wanaume wa kanda ya Pwani wameshinda category ya wanaume wapole na wanyenyekevu kwa wake zao. Wanawake wengi wanasema mwanaume wa pwani hata ukimgombeza yeye ndie anakuomba umsamehe ila ni wavivu wanaopenda kulelewa.

Wanaume wa kanda ya kaskazini wameshika nafasi ya mwisho ya wanaume wasiojua mapenzi na bahili, wasiojali wanawake kihisia.

Wanaume wa kanda ya kati na kusini waneonekana kua ni wanaume wasioeleweka, wenye misongo ya mawazo na ambao hawatabiriki ila waaminifu.

Utafiti huu utachapishwa hivi karibuni na taasisi iliyofanya utafiti.

Je, wewe unakubaliana na haya maoni ya kina mama?

Nakubaliana na wewe kabisa katik hili. 100% Upo sahihi kabisa.

Wanaume wa kanda ya kaskazini wameshika nafasi ya mwisho ya wanaume wasiojua mapenzi na bahili, wasiojali wanawake kihisia.
 
Back
Top Bottom