Misungwi Yetu
Senior Member
- Oct 7, 2017
- 103
- 39
Kwani wote tunaishi mikoa ya joto?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo kwenye kulala na tai plus joto lote hilo
Nitakufahamisha tena .Sijakuelewa.
Km kunaaliye muelewa jamani anielewrshe
Huyo Mange ana miguu mibaya.Yani wanawake wanapolisikia jina la Mange Kimambi akili huwaruka kabisa na kuwa kama vichaa.Ikitokea mwanaume kagombana na Mange Kimambi basi tegemea hata picha za uchi atakazopigwa na mke wake na kurushwa kwenda US kwa Mange.
Wanawake wamgeuza Mange mungu wa Social networks
Sasa ndio nimewamegea siri wanaume wenzangu,ikitokea umetofautiana na Mange kwenye mitandano huko uhakikishe unalala umependeza kabisa tena ikiwezekana weka na tai shingoni maana huwezi jua ni mda gani utapigwa picha.
Huyo Mange hana lolote.Usijifiche huku mfuate insta halafu mletee hizo ndio utamjua kama kimavi au kimambi! Binafsi siwezi kutafuta ugomvi na mtu ambaye siwezi kumtoa manundu ugomvi mchambo sio sifa ya kiume
Hata wewe unayo haki ya kumblock!Huyo Mange hana lolote.
Kama anajiamini mbona ana block watu kila kukicha?
Unajielewa kweli?Hata wewe unayo haki ya kumblock!
Punguza wivuHuyo Mange ana miguu mibaya.
Hata hapendezi kuvaa nguo fupi.
Hapendezi kweli kwani uongo?Punguza wivu
Oooooooooooooh kumbe nikimambi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji56] yeuwi mbavu zanguu, ile ilikuwa typing error[emoji12] eti kimavi yekeleuwiii[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Nitakufahamisha tena .
Anaitwa mange kimambi si kimavi ila kama una hamu ya kumwita hivyo mfuate insta then itamjua kama kimavi au kimambi!am out!
we mzito mno kuelewa,too slow on the uptake,Sijakuelewa.
Km kunaaliye muelewa jamani anielewrshe
Sawa mkuu ngoja ning'arishe viatu hapa maana ni muda wa kulala, mamsapu hata akipiga mapicha ni fresh tu km asemavyo Fid Q..
Mkuu nitajitahidi nisikorome ili akose cha kufanya..Ukilala umependeza utaishia kurekodiwa ukikoroma au ukihemea bao la kusawazisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]