Wanawake wanavyochanganyikiwa mbele ya Mange Kimambi

Wanawake wanavyochanganyikiwa mbele ya Mange Kimambi

Sijakuelewa.

Km kunaaliye muelewa jamani anielewrshe
Nitakufahamisha tena .
Anaitwa mange kimambi si kimavi ila kama una hamu ya kumwita hivyo mfuate insta then itamjua kama kimavi au kimambi!am out!
 
Yani wanawake wanapolisikia jina la Mange Kimambi akili huwaruka kabisa na kuwa kama vichaa.Ikitokea mwanaume kagombana na Mange Kimambi basi tegemea hata picha za uchi atakazopigwa na mke wake na kurushwa kwenda US kwa Mange.

Wanawake wamgeuza Mange mungu wa Social networks
387868_10150562478658098_201608553_n.jpg


Sasa ndio nimewamegea siri wanaume wenzangu,ikitokea umetofautiana na Mange kwenye mitandano huko uhakikishe unalala umependeza kabisa tena ikiwezekana weka na tai shingoni maana huwezi jua ni mda gani utapigwa picha.
Huyo Mange ana miguu mibaya.

Hata hapendezi kuvaa nguo fupi.
 
Usijifiche huku mfuate insta halafu mletee hizo ndio utamjua kama kimavi au kimambi! Binafsi siwezi kutafuta ugomvi na mtu ambaye siwezi kumtoa manundu ugomvi mchambo sio sifa ya kiume
Huyo Mange hana lolote.

Kama anajiamini mbona ana block watu kila kukicha?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]power of women
hawatumii nguvu kukuliza
 
Nitakufahamisha tena .
Anaitwa mange kimambi si kimavi ila kama una hamu ya kumwita hivyo mfuate insta then itamjua kama kimavi au kimambi!am out!
Oooooooooooooh kumbe nikimambi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji56] yeuwi mbavu zanguu, ile ilikuwa typing error[emoji12] eti kimavi yekeleuwiii[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Sijakuelewa.

Km kunaaliye muelewa jamani anielewrshe
we mzito mno kuelewa,too slow on the uptake,
aamanisha hivyo ulivyomwita kamite kule insta ndo utaelewa kwanini ?
 
Sawa mkuu ngoja ning'arishe viatu hapa maana ni muda wa kulala, mamsapu hata akipiga mapicha ni fresh tu km asemavyo Fid Q..
 
Sawa mkuu ngoja ning'arishe viatu hapa maana ni muda wa kulala, mamsapu hata akipiga mapicha ni fresh tu km asemavyo Fid Q..

Ukilala umependeza utaishia kurekodiwa ukikoroma au ukihemea bao la kusawazisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukilala umependeza utaishia kurekodiwa ukikoroma au ukihemea bao la kusawazisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nitajitahidi nisikorome ili akose cha kufanya..
 
Back
Top Bottom