Sifa ya mwanaume ni kuhudumia mkuu, ukimtafuta mwenyewe kubaliana na vizinga utakavyokutana navyo maana havikwepeki ila vinapunguzika visiwe vingi
Anayependwa bila sababu ni mwanamke, mtoto na mnyama wa kufugwa ila mwanaume hudumia vizuri, ukishindwa kuhudumia kwa pesa basi hakikisha kitandani unahudumia vizuri mkuu, hakuna namna ya kukwepa huduma