Bwii89
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 1,001
- 1,025
Asee wanawake bwana! Cjui hua wanawazaga nn! Unamweleza hisia zako juu yake kwa njia yamtandao (_tongozo) ..anakwambia tuma pesa kwanza nipate nguvu ya kuonana na kuongea naww!..cheni hizo..punguzeni njaa..hata kama mtu ana nia ya kukuoa kwel anakutumia na kukuacha!