Wanawake wanaweza hatimaye tumevunja mwiko wa tangu uhuru NMB Jamii Bond yaanza kuuzwa London stock Exchange-UK

Wanawake wanaweza hatimaye tumevunja mwiko wa tangu uhuru NMB Jamii Bond yaanza kuuzwa London stock Exchange-UK

View attachment 2993577
View attachment 2993578
Chini ya mwana mama shupavu na CEO wa NMB PLC Mrs. Ruth Zaipuna sasa kwa mara ya kwanza tangu uhuru hatifungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London.

Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hatifungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la Hisa la London (LSE)

Hatua hiyo inaifanya Benki ya NMB kuwa taasisi ya kwanza Tanzania kuwa na hatifungani katika soko hilo na Benki ya Kwanza Afrika Mashariki, Kati na Kusini kuorodhesha Hatifungani ya Uendelevu LSE.

Hati Fungani ya NMB Jamii inalenga kuchochea uwekezaji katika miradi yenye tija kijamii na kimazingira, na toleo la Dola za Kimarekani Milioni 73 ndio limeorodheshwa kwa wawekezaji wa LSE.

Kuorodheshwa kwa mara ya pili kwa NMB Jamii Bond katika masoko ya hisa ya kimataifa kunafuatia kuidhinishwa kwake mwezi jana kuuzwa katika Soko la Hisa la Luxembourg ambako pia hatifungani ya NMB Jasiri imekuwa ikifanya vizuri tangu iorodheshwe kwenye soko hilo mwaka jana.

Uzinduzi wa mauzo ya Hatifungani ya Jamii ulifanyika wakati wa ufunguzi wa shughuli za wiki hii za LSE, na kuhudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki; Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bi. Ruth Zaipuna; Mhazini wa NMB, Aziz Chacha; Afisa Mtendaji Mkuu wa LSE, Julia Hoggetts na viongozi wengine waandamizi kutoka Serikali ya Uingereza na taasisi mbalimbali.

“Tulianza kwa kuiorodhesha hatifungani hii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam mwaka jana, Soko la Luxembourg mwezi uliopita, na leo tunaiorodhesha hapa LSE ili kuwapa wawekezaji wanaozingatia uendelevu, fursa ya kuchangia mabadiliko huku wakipata faida nzuri ya uwekezaji wao,” Bi Zaipuna alieleza.

Bi Zaipuna alisema masoko ya kimataifa yanaiwezesha benki hiyo kuwa na wigo mpana wa kupata fedha kwa ajili ya kufadhili miradi inayosaidia kuboresha maisha, kubadilisha jamii na kuwa na mustakabali bora kwa watu wote.

“Mafanikio haya kipekee yanadhihirisha imani waliyokuwa nayo wawekezaji wa Kitanzania na Kimataifa katika uthabiti wa Benki ya NMB na dhamira yake ya uendelevu katika utendaji wake, biashara, jamii na masuala ya mazingira,” Bi Zaipuna alisema.

#Viva Samia Viva , Viva Zaipuna Viva
MEHARIBU UZI.

UMEANDIKA Ki-femminist na haisadii!

Elon Mask anaenda juu ya dunia hajawahi kusema "WANAUME WANAWEZA"!

Haarland anapiga magoli sijasikia akisema wanaume wanaweza.
Marekani wana marais 46, hakuna mwanamke hata mmoja na "hawajawahi kusema WANAUME TUNAWEZA"

Ronaldo mpaka leo anaheza sijasikia akisema wanaume wanaweza!
SERENA Williams ameshinda Wimbledon, US Open , World champion "hajawahi kusema wanawake Tunaweza!

Kujielezea tunaweza maana yake tunajionyesha ni wanyonge.

Femminism is SATANISM.
U
 
View attachment 2993577
View attachment 2993578
Chini ya mwana mama shupavu na CEO wa NMB PLC Mrs. Ruth Zaipuna sasa kwa mara ya kwanza tangu uhuru hatifungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London.

Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hatifungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la Hisa la London (LSE)

Hatua hiyo inaifanya Benki ya NMB kuwa taasisi ya kwanza Tanzania kuwa na hatifungani katika soko hilo na Benki ya Kwanza Afrika Mashariki, Kati na Kusini kuorodhesha Hatifungani ya Uendelevu LSE.

Hati Fungani ya NMB Jamii inalenga kuchochea uwekezaji katika miradi yenye tija kijamii na kimazingira, na toleo la Dola za Kimarekani Milioni 73 ndio limeorodheshwa kwa wawekezaji wa LSE.

Kuorodheshwa kwa mara ya pili kwa NMB Jamii Bond katika masoko ya hisa ya kimataifa kunafuatia kuidhinishwa kwake mwezi jana kuuzwa katika Soko la Hisa la Luxembourg ambako pia hatifungani ya NMB Jasiri imekuwa ikifanya vizuri tangu iorodheshwe kwenye soko hilo mwaka jana.

Uzinduzi wa mauzo ya Hatifungani ya Jamii ulifanyika wakati wa ufunguzi wa shughuli za wiki hii za LSE, na kuhudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki; Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bi. Ruth Zaipuna; Mhazini wa NMB, Aziz Chacha; Afisa Mtendaji Mkuu wa LSE, Julia Hoggetts na viongozi wengine waandamizi kutoka Serikali ya Uingereza na taasisi mbalimbali.

“Tulianza kwa kuiorodhesha hatifungani hii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam mwaka jana, Soko la Luxembourg mwezi uliopita, na leo tunaiorodhesha hapa LSE ili kuwapa wawekezaji wanaozingatia uendelevu, fursa ya kuchangia mabadiliko huku wakipata faida nzuri ya uwekezaji wao,” Bi Zaipuna alieleza.

Bi Zaipuna alisema masoko ya kimataifa yanaiwezesha benki hiyo kuwa na wigo mpana wa kupata fedha kwa ajili ya kufadhili miradi inayosaidia kuboresha maisha, kubadilisha jamii na kuwa na mustakabali bora kwa watu wote.

“Mafanikio haya kipekee yanadhihirisha imani waliyokuwa nayo wawekezaji wa Kitanzania na Kimataifa katika uthabiti wa Benki ya NMB na dhamira yake ya uendelevu katika utendaji wake, biashara, jamii na masuala ya mazingira,” Bi Zaipuna alisema.

#Viva Samia Viva , Viva Zaipuna Viva
Basi akitoka Samia apewe yeye ama namna gani?
 
Politics, kwenye private sector smart people wana thrive because wana uhuru wa ku practise new ideas. Kwenye gov lazima uendane na malengo ya taasis , kama hayaendani na innovation yako, basi utabaki hivyo hivyo. Hata kama mawazo yako ni revolutionary
Upigaji pia unawafanya waloose confidence nadhani, Wanakuwa kama watu duni sana
 
View attachment 2993577
View attachment 2993578
Chini ya mwana mama shupavu na CEO wa NMB PLC Mrs. Ruth Zaipuna sasa kwa mara ya kwanza tangu uhuru hatifungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London.

Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hatifungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la Hisa la London (LSE)

Hatua hiyo inaifanya Benki ya NMB kuwa taasisi ya kwanza Tanzania kuwa na hatifungani katika soko hilo na Benki ya Kwanza Afrika Mashariki, Kati na Kusini kuorodhesha Hatifungani ya Uendelevu LSE.

Hati Fungani ya NMB Jamii inalenga kuchochea uwekezaji katika miradi yenye tija kijamii na kimazingira, na toleo la Dola za Kimarekani Milioni 73 ndio limeorodheshwa kwa wawekezaji wa LSE.

Kuorodheshwa kwa mara ya pili kwa NMB Jamii Bond katika masoko ya hisa ya kimataifa kunafuatia kuidhinishwa kwake mwezi jana kuuzwa katika Soko la Hisa la Luxembourg ambako pia hatifungani ya NMB Jasiri imekuwa ikifanya vizuri tangu iorodheshwe kwenye soko hilo mwaka jana.

Uzinduzi wa mauzo ya Hatifungani ya Jamii ulifanyika wakati wa ufunguzi wa shughuli za wiki hii za LSE, na kuhudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki; Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bi. Ruth Zaipuna; Mhazini wa NMB, Aziz Chacha; Afisa Mtendaji Mkuu wa LSE, Julia Hoggetts na viongozi wengine waandamizi kutoka Serikali ya Uingereza na taasisi mbalimbali.

“Tulianza kwa kuiorodhesha hatifungani hii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam mwaka jana, Soko la Luxembourg mwezi uliopita, na leo tunaiorodhesha hapa LSE ili kuwapa wawekezaji wanaozingatia uendelevu, fursa ya kuchangia mabadiliko huku wakipata faida nzuri ya uwekezaji wao,” Bi Zaipuna alieleza.

Bi Zaipuna alisema masoko ya kimataifa yanaiwezesha benki hiyo kuwa na wigo mpana wa kupata fedha kwa ajili ya kufadhili miradi inayosaidia kuboresha maisha, kubadilisha jamii na kuwa na mustakabali bora kwa watu wote.

“Mafanikio haya kipekee yanadhihirisha imani waliyokuwa nayo wawekezaji wa Kitanzania na Kimataifa katika uthabiti wa Benki ya NMB na dhamira yake ya uendelevu katika utendaji wake, biashara, jamii na masuala ya mazingira,” Bi Zaipuna alisema.

#Viva Samia Viva , Viva Zaipuna Viva
Tunampongeza Madame CEO
 
Upigaji pia unawafanya waloose confidence nadhani, Wanakuwa kama watu duni sana
Upigaji ni small part sana, i worked on both sectors, one thing about gov yetu top bosses ni wana regular intelligence, watu wa kawaida mno upstairs. Lakin hao hao ndio wanasikilizwa, ukiwa smart kwenye gov office unapigwa vita. Hawangalii service track record yako, wanaangalia maslahi yao, wewe kuwa smart ni threat to position zao

In private instituon perfomance yako itakubeba, and this is where such people wana thrive
 
Upigaji ni small part sana, i worked on both sectors, one thing about gov yetu top bosses ni wana regular intelligence, watu wa kawaida mno upstairs. Lakin hao hao ndio wanasikilizwa, ukiwa smart kwenye gov office unapigwa vita. Hawangalii service track record yako, wanaangalia maslahi yao, wewe kuwa smart ni threat to position zao

In private instituon perfomance yako itakubeba, and this is where such people wana thrive
Aisee, now I understand Yuko jamaa mmoja anaitwa Somebody Paschal alikuwa NMB akaenda TADB Leo Yuko dumpt tu pale MOF,
 
View attachment 2993577
View attachment 2993578
Chini ya mwana mama shupavu na CEO wa NMB PLC Mrs. Ruth Zaipuna sasa kwa mara ya kwanza tangu uhuru hatifungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London.

Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hatifungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la Hisa la London (LSE)

Hatua hiyo inaifanya Benki ya NMB kuwa taasisi ya kwanza Tanzania kuwa na hatifungani katika soko hilo na Benki ya Kwanza Afrika Mashariki, Kati na Kusini kuorodhesha Hatifungani ya Uendelevu LSE.

Hati Fungani ya NMB Jamii inalenga kuchochea uwekezaji katika miradi yenye tija kijamii na kimazingira, na toleo la Dola za Kimarekani Milioni 73 ndio limeorodheshwa kwa wawekezaji wa LSE.

Kuorodheshwa kwa mara ya pili kwa NMB Jamii Bond katika masoko ya hisa ya kimataifa kunafuatia kuidhinishwa kwake mwezi jana kuuzwa katika Soko la Hisa la Luxembourg ambako pia hatifungani ya NMB Jasiri imekuwa ikifanya vizuri tangu iorodheshwe kwenye soko hilo mwaka jana.

Uzinduzi wa mauzo ya Hatifungani ya Jamii ulifanyika wakati wa ufunguzi wa shughuli za wiki hii za LSE, na kuhudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki; Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bi. Ruth Zaipuna; Mhazini wa NMB, Aziz Chacha; Afisa Mtendaji Mkuu wa LSE, Julia Hoggetts na viongozi wengine waandamizi kutoka Serikali ya Uingereza na taasisi mbalimbali.

“Tulianza kwa kuiorodhesha hatifungani hii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam mwaka jana, Soko la Luxembourg mwezi uliopita, na leo tunaiorodhesha hapa LSE ili kuwapa wawekezaji wanaozingatia uendelevu, fursa ya kuchangia mabadiliko huku wakipata faida nzuri ya uwekezaji wao,” Bi Zaipuna alieleza.

Bi Zaipuna alisema masoko ya kimataifa yanaiwezesha benki hiyo kuwa na wigo mpana wa kupata fedha kwa ajili ya kufadhili miradi inayosaidia kuboresha maisha, kubadilisha jamii na kuwa na mustakabali bora kwa watu wote.

“Mafanikio haya kipekee yanadhihirisha imani waliyokuwa nayo wawekezaji wa Kitanzania na Kimataifa katika uthabiti wa Benki ya NMB na dhamira yake ya uendelevu katika utendaji wake, biashara, jamii na masuala ya mazingira,” Bi Zaipuna alisema.

#Viva Samia Viva , Viva Zaipuna Viva
Hongera NMB
 
View attachment 2993577
View attachment 2993578
Chini ya mwana mama shupavu na CEO wa NMB PLC Mrs. Ruth Zaipuna sasa kwa mara ya kwanza tangu uhuru hatifungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London.

Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hatifungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la Hisa la London (LSE)

Hatua hiyo inaifanya Benki ya NMB kuwa taasisi ya kwanza Tanzania kuwa na hatifungani katika soko hilo na Benki ya Kwanza Afrika Mashariki, Kati na Kusini kuorodhesha Hatifungani ya Uendelevu LSE.

Hati Fungani ya NMB Jamii inalenga kuchochea uwekezaji katika miradi yenye tija kijamii na kimazingira, na toleo la Dola za Kimarekani Milioni 73 ndio limeorodheshwa kwa wawekezaji wa LSE.

Kuorodheshwa kwa mara ya pili kwa NMB Jamii Bond katika masoko ya hisa ya kimataifa kunafuatia kuidhinishwa kwake mwezi jana kuuzwa katika Soko la Hisa la Luxembourg ambako pia hatifungani ya NMB Jasiri imekuwa ikifanya vizuri tangu iorodheshwe kwenye soko hilo mwaka jana.

Uzinduzi wa mauzo ya Hatifungani ya Jamii ulifanyika wakati wa ufunguzi wa shughuli za wiki hii za LSE, na kuhudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki; Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bi. Ruth Zaipuna; Mhazini wa NMB, Aziz Chacha; Afisa Mtendaji Mkuu wa LSE, Julia Hoggetts na viongozi wengine waandamizi kutoka Serikali ya Uingereza na taasisi mbalimbali.

“Tulianza kwa kuiorodhesha hatifungani hii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam mwaka jana, Soko la Luxembourg mwezi uliopita, na leo tunaiorodhesha hapa LSE ili kuwapa wawekezaji wanaozingatia uendelevu, fursa ya kuchangia mabadiliko huku wakipata faida nzuri ya uwekezaji wao,” Bi Zaipuna alieleza.

Bi Zaipuna alisema masoko ya kimataifa yanaiwezesha benki hiyo kuwa na wigo mpana wa kupata fedha kwa ajili ya kufadhili miradi inayosaidia kuboresha maisha, kubadilisha jamii na kuwa na mustakabali bora kwa watu wote.

“Mafanikio haya kipekee yanadhihirisha imani waliyokuwa nayo wawekezaji wa Kitanzania na Kimataifa katika uthabiti wa Benki ya NMB na dhamira yake ya uendelevu katika utendaji wake, biashara, jamii na masuala ya mazingira,” Bi Zaipuna alisema.

#Viva Samia Viva , Viva Zaipuna Viva
Dada apewe maua yake anawakimbiza sana wale ndg zangu C**B
 
Uzinduzi wa mauzo ya Hatifungani ya Jamii ulifanyika wakati wa ufunguzi wa shughuli za wiki hii za LSE,
Hatifungani

BENKI YA NMB PLC YATAMBULISHA BONDI ENDELEVU YA JAMII : KUELEKEZA UWEKEZAJI WENYE MGUSO KWA AJILI YA KESHO ENDELEVU.​

Iliyotumwa: 13 Mei 2024
Shiriki
1716101520132.png


1716104327465.png

Benki ya NMB Plc - Benki inayoongoza Tanzania kutoa huduma za kifedha kwa wateja mbalimbali kuanzia watu binafsi hadi makampuni makubwa.

Leo, kupitia kuorodheshwa kwake hapa katika Soko la Hisa la London ( London Stock Exchange), benki ya NMB inatoa kauli ya ujasiri katika dhamira yao ya kuongeza nguvu yake ya kifedha kwa manufaa zaidi.

NMB imejitolea kukuza ukuaji wa uchumi na maendeleo ya kijamii kwa kutoa huduma za kibenki zilizotengenezwa mahususi.

LSE inajivunia kuzindua uorodheshaji wa Dhamana ya Uendelevu yaani hatifungani NMB-Jamii, bond ya kwanza cha kifedha ilichoundwa ili kuchochea uwekezaji katika miradi inayoleta manufaa yanayoonekana ya kijamii na kimazingira.

Mtaji uliopatikana kwa kujiunga na soko la LSE ni Dola za Kimarekani Milioni 73 na unawiana na juhudi za kimataifa za kushughulikia changamoto za uendelevu na kujenga jamii yenye uthabiti na jumuishi pia shirikishi zaidi, kuwawezesha wawekezaji na fursa ya kuzalisha mapato ya kifedha huku wakileta matokeo ya maana.

Hii ni hatifungani / bond (dhamana) ya kwanza ya Uendelevu katika ukanda wa Afrika Mashariki.


"Katika Benki ya NMB, tunatambua jukumu muhimu la fedha katika kuleta maendeleo endelevu na kutatua changamoto tata zinazoikabili dunia yetu na jamii," alisema Bi. Ruth Zaipuna, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc.

Alipongeza zaidi kazi iliyofanywa na washauri wa miamala, mhasibu wa kuripoti; washauri wa kisheria, na wakala (brokers) wanaotoa usaidizi katika ununuzi wa hatifungani kwa michango yao muhimu katika kufanikisha sisi NMB kuingia katika soko la shughuli hii hatifungani kimataifa.

Benki ya NMB kama taasisi ya fedha inayoongoza Tanzania iliyoorodheshwa kwenye Soko la Hisa la Dar es salaam (Mtaji wa Soko wa takriban Dola za Kimarekani Bilioni 1), Benki ya NMB Plc imeendelea kujitolea katika kuendeleza maendeleo endelevu na kukuza uwajibikaji wa uwekezaji, huku kukiwa na hakikisho la uwajibikaji katika kuweka tathmini ya athari, na utoaji wa taarifa sahihi kwa uwazi.

Source : London Stock Exchange | London Stock Exchange

Habari zaidi na habari za hivi punde zinaweza kupatikana kwenye tovuti yetu katika NMB Bank Plc - Tovuti Rasmi
 

NMB BANK PLC INTRODUCES THE JAMII SUSTAINABILITY BOND: DRIVING IMPACTFUL INVESTMENT FOR A SUSTAINABLE FUTURE​

Posted: 13 May 2024
1716101486731.png


NMB Bank Plc - Tanzania's leading commercial bank offering financial services to diverse clients ranging from individuals to large corporates.

Today, through its listing here at the London Stock Exchange is making a bold statement in their mission to leverage the power of finance for the greater good.

NMB is dedicated to fostering economic growth and social progress through offering tailor-made banking services.

LSE is proud to unveil the listing of the NMB-Jamii Sustainability Bond, a pioneering financial instrument designed to catalyze investment in projects that deliver tangible social and environmental benefits.

The capital raised for this admission is USD 73 Million and it is aligned with global efforts to address pressing sustainability challenges and build a more resilient and inclusive society, empowering investors with the opportunity to generate financial returns while making a meaningful impact. This is the first Sustainability Bond in the East Africa region.

"At NMB Bank, we recognize the critical role that finance plays in driving sustainable development and addressing the complex challenges facing our planet and society," said Ms. Ruth Zaipuna, CEO of NMB Bank Plc. She further commended the work done by joint lead transaction advisors, reporting accountant; the legal advisors, and a sponsoring broker for their valuable contributions in bringing to market this transaction.

As Tanzania's leading financial institution listed on the Dar es salaam Stock Exchange (Market Capitalization about USD 1 Billion), NMB Bank Plc remains committed to advancing sustainable development and promoting responsible investment practices, with the assurance of rigorous impact assessment and transparent reporting.

Source : London Stock Exchange | London Stock Exchange

More information and latest news can be found on our website at NMB Bank Plc - Official Site
 
Back
Top Bottom