residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Huu ni unyanyapaa.Tumpe hongera Mwanaume mwenzetu Kwa kumpa Utulivu Bi Ruthi Zaipuna hadi kuweza kufanya shughuli zake Kwa mafanikio makubwa namna hii
Wanaume tukiwawezesha Wanawake hakika wanaweza
Hongera NMB, hongera bi Ruth Zaipuna
Hakuna kusaport wala nini.Tutafika tu tuwasapoti hawa wa Mama.
Na huko nmb kuna siasa??Kwani NMB SIO bank ya Serikali au Mi ndio SIJUI? National Microfinance Bank maana yake nini?
Wanaume wengi zaidi ya kuwaza umalaya na wizi Kuna kipi wanaweza?View attachment 2993577
View attachment 2993578
Chini ya mwana mama shupavu na CEO wa NMB PLC Mrs. Ruth Zaipuna sasa kwa mara ya kwanza tangu uhuru hatifungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London.
Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hatifungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la Hisa la London (LSE)
Hatua hiyo inaifanya Benki ya NMB kuwa taasisi ya kwanza Tanzania kuwa na hatifungani katika soko hilo na Benki ya Kwanza Afrika Mashariki, Kati na Kusini kuorodhesha Hatifungani ya Uendelevu LSE.
Hati Fungani ya NMB Jamii inalenga kuchochea uwekezaji katika miradi yenye tija kijamii na kimazingira, na toleo la Dola za Kimarekani Milioni 73 ndio limeorodheshwa kwa wawekezaji wa LSE.
Kuorodheshwa kwa mara ya pili kwa NMB Jamii Bond katika masoko ya hisa ya kimataifa kunafuatia kuidhinishwa kwake mwezi jana kuuzwa katika Soko la Hisa la Luxembourg ambako pia hatifungani ya NMB Jasiri imekuwa ikifanya vizuri tangu iorodheshwe kwenye soko hilo mwaka jana.
Uzinduzi wa mauzo ya Hatifungani ya Jamii ulifanyika wakati wa ufunguzi wa shughuli za wiki hii za LSE, na kuhudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki; Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bi. Ruth Zaipuna; Mhazini wa NMB, Aziz Chacha; Afisa Mtendaji Mkuu wa LSE, Julia Hoggetts na viongozi wengine waandamizi kutoka Serikali ya Uingereza na taasisi mbalimbali.
“Tulianza kwa kuiorodhesha hatifungani hii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam mwaka jana, Soko la Luxembourg mwezi uliopita, na leo tunaiorodhesha hapa LSE ili kuwapa wawekezaji wanaozingatia uendelevu, fursa ya kuchangia mabadiliko huku wakipata faida nzuri ya uwekezaji wao,” Bi Zaipuna alieleza.
Bi Zaipuna alisema masoko ya kimataifa yanaiwezesha benki hiyo kuwa na wigo mpana wa kupata fedha kwa ajili ya kufadhili miradi inayosaidia kuboresha maisha, kubadilisha jamii na kuwa na mustakabali bora kwa watu wote.
“Mafanikio haya kipekee yanadhihirisha imani waliyokuwa nayo wawekezaji wa Kitanzania na Kimataifa katika uthabiti wa Benki ya NMB na dhamira yake ya uendelevu katika utendaji wake, biashara, jamii na masuala ya mazingira,” Bi Zaipuna alisema.
#Viva Samia Viva , Viva Zaipuna Viva
Unaweza kunitajia mifano hata miwili Mkuu?Huu ni unyanyapaa.
Wanawake wanaweza hata bila kuwezeshwa.
Naungana na wewe kwa 100%✓ nikuhonga vyeo tu na pesaWanaume wengi zaidi ya kuwaza umalaya na wizi Kuna kipi wanaweza?
Samia amewaonesha mfano kwamba wanawake wanaweza bila majigambo the same to huyo madam Zaipuna wa NMB.
Habari njema sana hii kwa TaifaView attachment 2993577
View attachment 2993578
Chini ya mwana mama shupavu na CEO wa NMB PLC Mrs. Ruth Zaipuna sasa kwa mara ya kwanza tangu uhuru hatifungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London.
Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hatifungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la Hisa la London (LSE)
Hatua hiyo inaifanya Benki ya NMB kuwa taasisi ya kwanza Tanzania kuwa na hatifungani katika soko hilo na Benki ya Kwanza Afrika Mashariki, Kati na Kusini kuorodhesha Hatifungani ya Uendelevu LSE.
Hati Fungani ya NMB Jamii inalenga kuchochea uwekezaji katika miradi yenye tija kijamii na kimazingira, na toleo la Dola za Kimarekani Milioni 73 ndio limeorodheshwa kwa wawekezaji wa LSE.
Kuorodheshwa kwa mara ya pili kwa NMB Jamii Bond katika masoko ya hisa ya kimataifa kunafuatia kuidhinishwa kwake mwezi jana kuuzwa katika Soko la Hisa la Luxembourg ambako pia hatifungani ya NMB Jasiri imekuwa ikifanya vizuri tangu iorodheshwe kwenye soko hilo mwaka jana.
Uzinduzi wa mauzo ya Hatifungani ya Jamii ulifanyika wakati wa ufunguzi wa shughuli za wiki hii za LSE, na kuhudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki; Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bi. Ruth Zaipuna; Mhazini wa NMB, Aziz Chacha; Afisa Mtendaji Mkuu wa LSE, Julia Hoggetts na viongozi wengine waandamizi kutoka Serikali ya Uingereza na taasisi mbalimbali.
“Tulianza kwa kuiorodhesha hatifungani hii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam mwaka jana, Soko la Luxembourg mwezi uliopita, na leo tunaiorodhesha hapa LSE ili kuwapa wawekezaji wanaozingatia uendelevu, fursa ya kuchangia mabadiliko huku wakipata faida nzuri ya uwekezaji wao,” Bi Zaipuna alieleza.
Bi Zaipuna alisema masoko ya kimataifa yanaiwezesha benki hiyo kuwa na wigo mpana wa kupata fedha kwa ajili ya kufadhili miradi inayosaidia kuboresha maisha, kubadilisha jamii na kuwa na mustakabali bora kwa watu wote.
“Mafanikio haya kipekee yanadhihirisha imani waliyokuwa nayo wawekezaji wa Kitanzania na Kimataifa katika uthabiti wa Benki ya NMB na dhamira yake ya uendelevu katika utendaji wake, biashara, jamii na masuala ya mazingira,” Bi Zaipuna alisema.
#Viva Samia Viva , Viva Zaipuna Viva
Sawa sawaUnajua haya mambo tunayaona ni madogo kwa sababu wengi wetu jatuijui LSE,
Tanzania kuanza kuuza share zake pale tayari Wazungu wameanza kuiamini Tanzania,
Hongera sana NMB hata kama Sina mia ila mmetisha
Mkuu, tuwaache hawa wasomi. Tukiwaingiza kwenye siasa tena hizi za kibongo tutamuharibia CV tu mama wa watu, keshokutwa umsikie anatukanwa na RC ubaki kushangaa.Niliwahi kusema hapa huyu dada anakitu Cha ziada, Hii NMB tangu aingie huyu Mama mambo ni mengi mapya na faida ni kubwa sana
Rais Samia angeweza kumwingiza Serikalini kama Waziri angeisaidia sana Serikali.
Nimefuatilia mjadala vizuri watu wengi wanatamani mama abaki kwenye nafasi yake ile ile ya U-CEOMkuu, tuwaache hawa wasomi. Tukiwaingiza kwenye siasa tena hizi za kibongo tutamuharibia CV tu mama wa watu, keshokutwa umsikie anatukanwa na RC ubaki kushangaa.
Abaki hapo hapo, wasomi wengi wameshaathiriwa na mfumo wa siasa zetu.Nimefuatilia mjadala vizuri watu wengi wanatamani mama abaki kwenye nafasi yake ile ile ya U-CEO
duh waziri tena...ila watz tunapenda kuwapa watu vyeo kirahisi tu,,,ni mtendaji mzuri lkn si kila mtendaji mzuri anaweza kuwa waziri,Niliwahi kusema hapa huyu dada anakitu Cha ziada, Hii NMB tangu aingie huyu Mama mambo ni mengi mapya na faida ni kubwa sana
Rais Samia angeweza kumwingiza Serikalini kama Waziri angeisaidia sana Serikali.
Natoa pongezi kwa wakina mama wote wanaopambana kuleta matokeo.View attachment 2993577
View attachment 2993578
Chini ya mwana mama shupavu na CEO wa NMB PLC Mrs. Ruth Zaipuna sasa kwa mara ya kwanza tangu uhuru hatifungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London.
Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hatifungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la Hisa la London (LSE)
Hatua hiyo inaifanya Benki ya NMB kuwa taasisi ya kwanza Tanzania kuwa na hatifungani katika soko hilo na Benki ya Kwanza Afrika Mashariki, Kati na Kusini kuorodhesha Hatifungani ya Uendelevu LSE.
Hati Fungani ya NMB Jamii inalenga kuchochea uwekezaji katika miradi yenye tija kijamii na kimazingira, na toleo la Dola za Kimarekani Milioni 73 ndio limeorodheshwa kwa wawekezaji wa LSE.
Kuorodheshwa kwa mara ya pili kwa NMB Jamii Bond katika masoko ya hisa ya kimataifa kunafuatia kuidhinishwa kwake mwezi jana kuuzwa katika Soko la Hisa la Luxembourg ambako pia hatifungani ya NMB Jasiri imekuwa ikifanya vizuri tangu iorodheshwe kwenye soko hilo mwaka jana.
Uzinduzi wa mauzo ya Hatifungani ya Jamii ulifanyika wakati wa ufunguzi wa shughuli za wiki hii za LSE, na kuhudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki; Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bi. Ruth Zaipuna; Mhazini wa NMB, Aziz Chacha; Afisa Mtendaji Mkuu wa LSE, Julia Hoggetts na viongozi wengine waandamizi kutoka Serikali ya Uingereza na taasisi mbalimbali.
“Tulianza kwa kuiorodhesha hatifungani hii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam mwaka jana, Soko la Luxembourg mwezi uliopita, na leo tunaiorodhesha hapa LSE ili kuwapa wawekezaji wanaozingatia uendelevu, fursa ya kuchangia mabadiliko huku wakipata faida nzuri ya uwekezaji wao,” Bi Zaipuna alieleza.
Bi Zaipuna alisema masoko ya kimataifa yanaiwezesha benki hiyo kuwa na wigo mpana wa kupata fedha kwa ajili ya kufadhili miradi inayosaidia kuboresha maisha, kubadilisha jamii na kuwa na mustakabali bora kwa watu wote.
“Mafanikio haya kipekee yanadhihirisha imani waliyokuwa nayo wawekezaji wa Kitanzania na Kimataifa katika uthabiti wa Benki ya NMB na dhamira yake ya uendelevu katika utendaji wake, biashara, jamii na masuala ya mazingira,” Bi Zaipuna alisema.
#Viva Samia Viva , Viva Zaipuna Viva
Nadhani mahaba tuduh waziri tena...ila watz tunapenda kuwapa watu vyeo kirahisi tu,,,ni mtendaji mzuri lkn si kila mtendaji mzuri anaweza kuwa waziri,
Sahihi kabisa AbramsUnajua haya mambo tunayaona ni madogo kwa sababu wengi wetu jatuijui LSE,
Tanzania kuanza kuuza share zake pale tayari Wazungu wameanza kuiamini Tanzania,
Hongera sana NMB hata kama Sina mia ila mmetisha
Hongera sana Madame ZaipunaView attachment 2993577
View attachment 2993578
Chini ya mwana mama shupavu na CEO wa NMB PLC Mrs. Ruth Zaipuna sasa kwa mara ya kwanza tangu uhuru hatifungani ya NMB Jamii Yaanza Kuuzwa Soko la Hisa London.
Benki ya NMB imetanua wigo wa kushiriki katika masoko ya mitaji kimataifa kwa kuiorodhesha Hatifungani ya NMB Jamii (NMB Jamii Bond) katika Soko la Hisa la London (LSE)
Hatua hiyo inaifanya Benki ya NMB kuwa taasisi ya kwanza Tanzania kuwa na hatifungani katika soko hilo na Benki ya Kwanza Afrika Mashariki, Kati na Kusini kuorodhesha Hatifungani ya Uendelevu LSE.
Hati Fungani ya NMB Jamii inalenga kuchochea uwekezaji katika miradi yenye tija kijamii na kimazingira, na toleo la Dola za Kimarekani Milioni 73 ndio limeorodheshwa kwa wawekezaji wa LSE.
Kuorodheshwa kwa mara ya pili kwa NMB Jamii Bond katika masoko ya hisa ya kimataifa kunafuatia kuidhinishwa kwake mwezi jana kuuzwa katika Soko la Hisa la Luxembourg ambako pia hatifungani ya NMB Jasiri imekuwa ikifanya vizuri tangu iorodheshwe kwenye soko hilo mwaka jana.
Uzinduzi wa mauzo ya Hatifungani ya Jamii ulifanyika wakati wa ufunguzi wa shughuli za wiki hii za LSE, na kuhudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mbelwa Kairuki; Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Bi. Ruth Zaipuna; Mhazini wa NMB, Aziz Chacha; Afisa Mtendaji Mkuu wa LSE, Julia Hoggetts na viongozi wengine waandamizi kutoka Serikali ya Uingereza na taasisi mbalimbali.
“Tulianza kwa kuiorodhesha hatifungani hii katika Soko la Hisa la Dar es Salaam mwaka jana, Soko la Luxembourg mwezi uliopita, na leo tunaiorodhesha hapa LSE ili kuwapa wawekezaji wanaozingatia uendelevu, fursa ya kuchangia mabadiliko huku wakipata faida nzuri ya uwekezaji wao,” Bi Zaipuna alieleza.
Bi Zaipuna alisema masoko ya kimataifa yanaiwezesha benki hiyo kuwa na wigo mpana wa kupata fedha kwa ajili ya kufadhili miradi inayosaidia kuboresha maisha, kubadilisha jamii na kuwa na mustakabali bora kwa watu wote.
“Mafanikio haya kipekee yanadhihirisha imani waliyokuwa nayo wawekezaji wa Kitanzania na Kimataifa katika uthabiti wa Benki ya NMB na dhamira yake ya uendelevu katika utendaji wake, biashara, jamii na masuala ya mazingira,” Bi Zaipuna alisema.
#Viva Samia Viva , Viva Zaipuna Viva
Great song lakini imekaa kichawa sana