Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Andika na urefu wa kila mmoja.Mimi 86 kg
Dada 100's kg
Mama 100's kg
NB: Unaweza kuwa na kilo kama hizo lakini ukawa katika hali ya kawaida ya kiafya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika na urefu wa kila mmoja.Mimi 86 kg
Dada 100's kg
Mama 100's kg
🤣🤣🤣🤣 ukitaka kula nguruwe chagua aliyenona, sio jambo la busara kesho kwa mungu tuchomwe moto kwa kosa la kuzini na tudada twembambaDaah! Nilienda nchi moja wanawake vimiili vidogo hata mzuka nikakosa.Mungu fundi ndani ya mwezi mmoja nikakutana na bonge sehemu ya kula.Nikasema hapa hata udomo zege napiga chini lazima nimuibukie. Basi buana ndiyo kama hivyo, Vibonge wote dhambi zenu na misalaba tunaibebe ila kwa wale wasafi pekee.
Nyieeee hatari tupuuu😅😅Taco ndo mpango mzima likisindikizwa na guu la bia na paja teketeke.
😆😆😆Malaika wakalukleti dhambi za vibonge wote watupe sisi mashabiki zao tutazibeba.Kuna mmoja nilikuwa naye jana kanipasua fifty sema naona kama nimemuibia mtoto mweupee trako laine kama mlenda mungu anajua kuumba nyie kuna mda kanambia baby nichue mkono unauma nimeshika mkono tu mix by yas inasoma 5G dah ila lile toto halafu linavyojua kudeka sasa.
Lakini lisiwe la nyama za kuning'inia[emoji23][emoji23]Taco ndo mpango mzima likisindikizwa na guu la bia na paja teketeke.
😅😅😅😅😅Mkuu acha tu hawa watu, yaani kuna muda unasema sasa tukaoge, baasi akitangulia mbele nikatoka nyuma hatufiki bafuni, ndiyo inakuja hiyo kukumbatia kwa nyuma sasa, unakumbatia kama unataka kuinua roba la nyasi za kulishia ng'ombe.
VIBONGE MITANO TENA
Hehee 😅😅 jamani jamaniSwali dogo tu, kati ya godoro la nchi 6 na lile la nchi 12 lipi zuri kulalia😁?
Vipi uwekewe option kati ya kagodoro ka 2*6 au lile la 6*6.
Kg 86!?Mimi 86 kg
Dada 100's kg
Mama 100's kg
Jitahidi upunguze.Mimi 93kg😫
Kilo nyingi hizo, punguza mdogo wangu.167cm, 24years
SawaKilo nyingi hizo, punguza mdogo wangu.
Humu tu...Humu tu😁Hehee 😅😅 jamani jamani
Mh umenishua na huo umri, em ngoja kwanza wewe ni mweupe na unafanania mashavu na pua na wale wamama (vibonge) wa kihindi?167cm, 24years
Nadhani wamefikiwa ndiyo lengo.Leo wanene wamefiriwa mabonge bonge mnaitwa huku!😀😀
Duuh tunatofautiana kweli. Mimi mwanamke akiwa mwembamba hana nyama namuona kama mwanaume mwenzagu tu. Ataniona shoga sababu sitakaa hata nimtanie kuhusu mapenzi.
Uzuri ukiniona mtu hawez dhani nna izo kiloJitahidi upunguze.
Akawa na urefu wa sentimita 75 mkuu. Unaweza kuna yupo duara kama mzee Mkapa.😀😀Andika na urefu wa kila mmoja.
NB: Unaweza kuwa na kilo kama hizo lakini ukawa katika hali ya kawaida ya kiafya
Kama na urefu unao hamna tabu sana ila kwa kilo hizo na nado ukiwa andunje, unakuwa kama pipa. 😂Uzuri ukiniona mtu hawez dhani nna izo kilo