Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 1,056
- 2,118
ππππΎβΊTena upate anaelia lia kwa bed kama mtoto dah! Unaeza mpa hati ya ploti
π π πEhππΎ men
πππππΎβΊ
ππΎπ
Fungua uzi wa malalamikoπ€£Jamn ata sipokei birthday wishes eh π’ππΎ
Ngoja mimi nikuwishi hapa hapaJamn ata sipokei birthday wishes eh π’ππΎ
Asante jamanβΊNgoja mimi nikuwishi hapa hapa
hapi bathdey tuyuu Anastasia21
M nishafikisha!Fungua uzi wa malalamikoπ€£
Kama una masharti sitakiBonge vipi, punguza ndambi hilo nikuoe sipendi vibonge mimi
πππ Mbona ni mshangazi huo, mambo anayotaka PSL god hayo , hapo huenda ndgu yangu Jordy05 yupo kazini kusaka dolali za january hadi bi mdashi anauma meno dadeki.hii kauli isha onyesha we ni ndumila kuwiliπ.
Jamani demu wa Half american ni huyu kwenye Picha, ana shindana na Vishu Mtata a.k.a boyka wa vikindu π€£ π€£
View attachment 3211917
samahani sana Dada,.. nyinyi huu uzi hauwahusu,...mumezidi sana,...ndo nyinyi munaovunja vitanda vyetu magetoniπ₯π₯π₯ππMimi 86 kg
Dada 100's kg
Mama 100's kg
Sasa kilo 86 nitakubebaje nikupetipeti mpenzi? Punguza zifike hata 75 kama mimiKama una masharti sitaki
Acha bhangiSasa kilo 86 nitakubebaje nikupetipeti mpenzi? Punguza zifike hata 75 kama mimi
Yamekuwa hayo tena?Acha bhangi
Kuna mahali nilisoma mwanasaikolojia anasema,Vipotabo popote mlipo muwe na usiku mwema, nyie matipwatipwa tetema na mishale kama dada wa taifa liwakute lolote la kuwaharibia usiku.
Huyo mwanasaikolojia yupo sahihi sana ni kama kudhani kuwa wenye vitambi ni matajiri.Kuna mahali nilisoma mwanasaikolojia anasema,
zamani kipindi marekani ni maskini, watu walipenda ke wanene kwasababu waliona unene kama afya nzuri, umaskini unafanya uone kula sana ni vizuri
Nadhani ndo kinachoendelea bongo.