Hasa huyo dogo tumueleze aoe weusi au?Usioe mwanamke mweupe. Ova
Mkuu hadithia kidogo ili kesho kwenye gahawa nipate pakuanziaMrangi huyu huyu niliyedate nae akanivuruga vuruga zaidi ya ngano? Ama unawazumgumzia warangi wa uingereza???
Hallelujah!!!
Dogo ana miaka 23 kwahiyo aachane nao auWaarangi tna? Utakufa mapema kwa bp,
Sema waha usafi ni 0.Wanawake wavumilivu kwenye ndoa ni waha tu wa kigoma
Itabidi tumueleze keshoKadiri inavyowezekana akaoe wa kabila lake!
Hii haina haja hata ya kuhadithia, hao wanajulikana kila kona ya mtaa.Mkuu hadithia kidogo ili kesho kwenye gahawa nipate pakuanzia
Chukua zako toto la kinyaturu, toto white, trako lipo si ndio mambo mnapenda? Au mmebadilisha msimamo?Hili swali nimeona nililete hapa jukwaani,
Huyu dogo nadhani atakua kwenye utafiti maana hajaoa ndio anatarajia ajifunge kitanzi mwakani.
Je, katika kuuliza juu ya wanawake kutoka kwa Wanyaturu, Wanyiramba na Warangi kama ni watulivu ama namna gani.
Kila mmoja pale alijibu la kwake
Mfano mzee Mwambalaswa yeye kasema ni warembo na sio wachoyo kwa yeyote.
Hasa tusaidiane mawazo hizo jamii Wana tabia za namna gani,