Wanawake Wanyaturu , Wanyiramba na Warangi wametulia na wavumilivu kwenye ndoa?

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Hili swali nimeona nililete hapa jukwaani,

Huyu dogo nadhani atakua kwenye utafiti maana hajaoa ndio anatarajia ajifunge kitanzi mwakani.

Je, katika kuuliza juu ya wanawake kutoka kwa Wanyaturu, Wanyiramba na Warangi kama ni watulivu ama namna gani.

Kila mmoja pale alijibu la kwake
Mfano mzee Mwambalaswa yeye kasema ni warembo na sio wachoyo kwa yeyote.

Hasa tusaidiane mawazo hizo jamii Wana tabia za namna gani,
 
Sikuiti mkuu,mwanamke akiwa malaya ni malaya tu,toka kigoma mpk chanika ni maraya haijalishi kabila lake.
Kama mwenzio kapata kilicho bora aamue mwenyewe kuoa au kuacha.
Tutatoa ushauri akipigwa za uso huko atakuja kutuomba ushauri tena.
Mwambie ampende mamaake kuliko kitu chochote hapa duniani.
Otherwise akwende mwana kwenda.
 
Chukua zako toto la kinyaturu, toto white, trako lipo si ndio mambo mnapenda? Au mmebadilisha msimamo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…