Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali nimeona nililete hapa jukwaani,
Huyu dogo nadhani atakua kwenye utafiti maana hajaoa ndio anatarajia ajifunge kitanzi mwakani.
Je, katika kuuliza juu ya wanawake kutoka kwa Wanyaturu, Wanyiramba na Warangi kama ni watulivu ama namna gani.
Kila mmoja pale alijibu la kwake
Mfano mzee Mwambalaswa yeye kasema ni warembo na sio wachoyo kwa yeyote.
Hasa tusaidiane mawazo hizo jamii Wana tabia za namna gani,
Mkuu hiyo siyo sababu! Wanawake wa Kiha wamefundwa kikweli kweli.Sema waha usafi ni 0.
Halafu sio hata kusema ni uvumilivu, wanatoka mkoa ambao kuna umasikini uliokithiri, hivyo wanapokuja mjini haoni tabu kuishi maisha ya chini cause wanajua namna ya ku survive.
Shida hazina mvumilivu.
Wavumilivu kwenye ndoa.....kwani unaenda kumtesa mtoto wa watu hadi utafute mtu mvumilivuKwanza ufahamu kuwa wanyaturu wanyaturu gani unawazungumzia kwa mukhtadha huo, kuna wairwana huko singida kaskazini, wahi singida kusini na wanying'anyi singida mashariki.ukitaka kuoa unaambia kaoe wairwana ni wavumilivu kwenye ndoa
Hii sio tu ushauri bali ni ILANIUsioe mwanamke mweupe. Ova
Yaani mtu amefikia umri wa kuoa anaanza kuuliza maswali kama hayo, atakuwa na changamoto sana. Kuna wanawake wa kutoka hayo makabila na wametulia vizuri tu, na kuna wa kutoka makabila yanayosifiwa kuwa ni wazuri na wanakuwa pasua kichwa. Yeye kama kapata mchumba ni wajibu wake amchunguze na ajiridhishe.Dogo ana miaka 23 kwahiyo aachane nao au
si watu wa bata kila siku, hata wakila mlenda poa tuWavumilivu kwenye ndoa.....kwani unaenda kumtesa mtoto wa watu hadi utafute mtu mvumilivu
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Nyie mnapewaje ndugu zanguni? Mimi sijawahi pewa na hizo jamii japo nabembelezaga sana. Labda nikitoboka helaHili swali nimeona nililete hapa jukwaani,
Huyu dogo nadhani atakua kwenye utafiti maana hajaoa ndio anatarajia ajifunge kitanzi mwakani.
Je, katika kuuliza juu ya wanawake kutoka kwa Wanyaturu, Wanyiramba na Warangi kama ni watulivu ama namna gani.
Kila mmoja pale alijibu la kwake
Mfano mzee Mwambalaswa yeye kasema ni warembo na sio wachoyo kwa yeyote.
Hasa tusaidiane mawazo hizo jamii Wana tabia za namna gani,
Nashangaa hata mimi!!Wavumilivu kwenye ndoa.....kwani unaenda kumtesa mtoto wa watu hadi utafute mtu mvumilivu
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Na wana huruma sana jirani akiwa na njaa akaomba hawamnyimi kabisaHili swali nimeona nililete hapa jukwaani,
Huyu dogo nadhani atakua kwenye utafiti maana hajaoa ndio anatarajia ajifunge kitanzi mwakani.
Je, katika kuuliza juu ya wanawake kutoka kwa Wanyaturu, Wanyiramba na Warangi kama ni watulivu ama namna gani.
Kila mmoja pale alijibu la kwake
Mfano mzee Mwambalaswa yeye kasema ni warembo na sio wachoyo kwa yeyote.
Hasa tusaidiane mawazo hizo jamii Wana tabia za namna gani,
atakuwa amedata kwa mwonekano ule wa kiarabuWaarangi tna? Utakufa mapema kwa bp,
usipotoshe we jamaa, usije ukamponza mwenzio akajichanganya watamvuruga hadi atakua chiziKabila halidetermine tabia ya mtu hebu mkue sasa, kila jamii ya binadamu ina watu wenye kila tabia huwezi kugeneralize group la watu kwa tabia za watu wachache uliokutana nao wewe! Jamii yoyote ni complex na kila mtu ana tabia yake! Hizo ndoa zinazovunjika kila siku na machangudoa waliojaa kila kona ya jiji ni hayo makabila tu?
Utakua umeleweshwa ugoro wenye kinyesi cha ngombeHili swali nimeona nililete hapa jukwaani,
Huyu dogo nadhani atakua kwenye utafiti maana hajaoa ndio anatarajia ajifunge kitanzi mwakani.
Je, katika kuuliza juu ya wanawake kutoka kwa Wanyaturu, Wanyiramba na Warangi kama ni watulivu ama namna gani.
Kila mmoja pale alijibu la kwake
Mfano mzee Mwambalaswa yeye kasema ni warembo na sio wachoyo kwa yeyote.
Hasa tusaidiane mawazo hizo jamii Wana tabia za namna gani,
Utoto huo, unaweza kuoa kabila lolote na outcome ikawa surprise kwake tu kama kawa!usipotoshe we jamaa, usije ukamponza mwenzio akajichanganya watamvuruga hadi atakua chizi