Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mwambie dogo aache forex trade.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tutamueleza dogo ayachakate mwenyeweChukua zako toto la kinyaturu, toto white, trako lipo si ndio mambo mnapenda? Au mmebadilisha msimamo?
Kwahiyo hapo anakua anabetMwambie dogo aache forex trade.....
Maneno mazito haya atayapata kama yalivoSikuiti mkuu,mwanamke akiwa malaya ni malaya tu,toka kigoma mpk chanika ni maraya haijalishi kabila lake.
Kama mwenzio kapata kilicho bora aamue mwenyewe kuoa au kuacha.
Tutatoa ushauri akipigwa za uso huko atakuja kutuomba ushauri tena.
Mwambie ampende mamaake kuliko kitu chochote hapa duniani.
Otherwise akwende mwana kwenda.
Na uzee wangu huu bado niulize maswali hayo , kijana kauliza tukaona tupate mawazo na hapa
Ndoa ni kamariKwahiyo hapo anakua anabet
Ngoja nimtag aje ajionee maneno ya wahengaNdoa ni kamari
Kwani warangi wao huoa wapi? Oa tuu ukipenda huyo mrañgi ni watu wa kawaida tuu.Waarangi tna? Utakufa mapema kwa bp,
Toto white wanaolewa na washamba chunguza😅😅😅Chukua zako toto la kinyaturu, toto white, trako lipo si ndio mambo mnapenda? Au mmebadilisha msimamo?
Watu mna maneno..eti forex trade!😂Mwambie dogo aache forex trade.....
Mkuu unaweza ukawa unatafuta toto la kulia mafao kama mzee Kapuya😁Na uzee wangu huu bado niulize maswali hayo , kijana kauliza tukaona tupate mawazo na hapa
Kumbe bongo bado tuna watu wenye akili kama hizi🤔Oa kabila lako achana na makabila ya watu yana Mila zao na tamaduni zao.
Usije ukasema hatuja kuambia.
Mwambie aende Manyara kwa wambulu aka kwa iraqw atakutana na pisi za viwango vya juu kabisa Tanzania. Binafsi nilichomoa mmoja katesh pale.Hili swali nimeona nililete hapa jukwaani,
Huyu dogo nadhani atakua kwenye utafiti maana hajaoa ndio anatarajia ajifunge kitanzi mwakani.
Je, katika kuuliza juu ya wanawake kutoka kwa Wanyaturu, Wanyiramba na Warangi kama ni watulivu ama namna gani.
Kila mmoja pale alijibu la kwake
Mfano mzee Mwambalaswa yeye kasema ni warembo na sio wachoyo kwa yeyote.
Hasa tusaidiane mawazo hizo jamii Wana tabia za namna gani,
Hivyo vyote ni viburudishoHili swali nimeona nililete hapa jukwaani,
Huyu dogo nadhani atakua kwenye utafiti maana hajaoa ndio anatarajia ajifunge kitanzi mwakani.
Je, katika kuuliza juu ya wanawake kutoka kwa Wanyaturu, Wanyiramba na Warangi kama ni watulivu ama namna gani.
Kila mmoja pale alijibu la kwake
Mfano mzee Mwambalaswa yeye kasema ni warembo na sio wachoyo kwa yeyote.
Hasa tusaidiane mawazo hizo jamii Wana tabia za namna gani,