Wanawake Warefu (Tall Women)

My dear urefu una garama sn kwenye mavazi na usafiri. Unachukuliaje changamoto hizo?
 
Kama 176cm ni andunje basi tena, wengine tumekwisha!!
 
Mkuu unawachukia kwel kwel.... Warefu wakashindanie umis tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ki ukweli mnapendeza,ila akili zenu zingekuwa ndefu pia mngependeza zaidi,tatizo lenu wengi ni warefu lakini akili zenu fupi,ni sawa na bajaji kuiwekea tairi la fuso.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…